Taratiiibu unaenda kujaa kwenye 18 za wajasiriamaliKwa anayeijua app ya android inayotoa tips za uhakika,hata kama ni V.I.P ya kulipia.
Boss haupendi kubet online? Kuna sababu ya kiufundi?
Tumia victor predict tena free site unapata odds za uhakika. Jana mjinga mmoja England katuchaniaKwa anayeijua app ya android inayotoa tips za uhakika,hata kama ni V.I.P ya kulipia.
Hahaaah,Mkuu mimi sio wa kupigwa kizembe,hizo paid apps sinunui,ninafanya kuzihack,simuamini mtu kirahisi😂😂Taratiiibu unaenda kujaa kwenye 18 za wajasiriamali
Hapo hizo 1 na 8 sija ziaoma
Daaah miaka mia cji kumkubali uingerezaTumia victor predict tena free site unapata odds za uhakika. Jana mjinga mmoja England katuchaniaView attachment 1823713View attachment 1823714
1; Frence ashinde, yapatikane magoli mawili na kuendelea, Frence apate goli 2nd halfHapo hizo 1 na 8 sija ziaoma
🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️Huyu ufaransa anataka kuwa mchawi goal mbil atapata kwel?
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Naomuoana, huyu anaweza kutulaza na viatu kabisa. Ameshafungwa huko.Huyu ufaransa anataka kuwa mchawi goal mbil atapata kwel?
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Mshenzi kinyamaNaomuoana, huyu anaweza kutulaza na viatu kabisa. Ameshafungwa huko.
Keshakuwa tatzo🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Ngoja tuone lkn anakosa magoli mengi mnooKeshakuwa tatzo
Ila hatotuangusha namuaminia
Anashinda hii mechi tena vizuri tu, hao Hungary hawawezi kulitunza hilo goli mpaka dk ya 90.
Ngoj tuoneAnashinda hii mechi tena vizuri tu, hao Hungary hawawezi kulitunza hilo goli mpaka dk ya 90.
Ahaaa sawa1; Frence ashinde, yapatikane magoli mawili na kuendelea, Frence apate goli 2nd half
8: German ashinde, Ashinde or atoesale, mechi itoe goli 2+