mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,603
- 8,881
Ni kweli lakini mimi naona kocha ni tatizo scotland sio timu ya kuihofia kiivo mapaka uweke defensive viungo 2Miaka yote wako hivyo hivyo ... wanaupiga mwingi sana kwenye media, ikija uwanjani hamna kitu.