Natena wiza
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 400
- 645
Usirudie tena kurudia team kwenye mikeka tofauti.
Usirudie tena kurudia team kwenye mikeka tofauti.
Upo sahihi, hakikisha tu simu yako ina uwezo mzuri wa camera, pia majina na taarifa zako zinafanana na documents ulizozitoa.Nilipofika hapo wametengeneza mfumo ambao simu unafunga camera ya simu na kakuambia upige picha kitambulisho nilitumia cha kitaifa ina scan yenyewe kama unavyoscan bar code kwa kutumia simu ikishakuwa clear inajipiga picha yenyewe na ku save baadaye inakuambia ugeuze upande wa pili na baadaye selfie ya uso hivyo ilivyo fanya tangu juzi vipo pendding
Ikiubali hatua hiyo nasikia kuna ngoma nzito ya kuveryfy location hiyo utaomba wakuu mnielekeze kama nitakwama maana hata mambo ni ya kitaalamu ya ki IT watu anachukua muda kuyasomea sisi tunajifanya kuyafanya sababu ya shida
Usichoke kuwasumbua watashughulikia fasta. mpaka sasa umeshafanikiwa ku verify taarifa zipi?Boss umejitahidi sana kunielekeza Mungu akubariki saana ninasubiri kufika hiyo hatia ngoja nione kwanza hiyo ya ID kama itapita
Bado ipo pending tangu juzi malipo tuma kitambulisho na selfie ya suraUsichoke kuwasumbua watashughulikia fasta. mpaka sasa umeshafanikiwa ku verify taarifa zipi?
sawa mkuu.Bado ipo pending tangu juzi malipo tuma kitambulisho na selfie ya sura
Hapana jaribu hzo njia za cryotocurrency huwa inakubali haikataiMbona mimi wananiwekea kauzobe wananiambia lazima nitoe kwa njia niliyowekea wakati nimeweka kwa visa na natolea hiyo hiyo? Hiyo ma crypto ni taaluma ambayo nipo sifuri
Kuna jamaa yangu naye alinipigia simu siku moja kachanganyikiwa pesa yake imegoma nikamwambia asipaniki niliitoa Ile hela hakuaminNiliwahi kuizoka milioni 8 wakati ndio naaza hii biashara kichaa ,nilitumie kadi ya NBC ku deposit ku withdraw ikagoma kabisa nikayachezea yoote mpaka sifuri
😂😂😂Mambo ya pweza View attachment 1726717
acha mpigwe tu hela zenu,angekua pweza kweli si angekua tajiriMambo ya pweza View attachment 1726717
Mkuu nashukuru, nimafuata link ila nikachelewa ku verify ka msg nikikamilisha hiyo utaomba maelekezoKuna jamaa yangu naye alinipigia simu siku moja kachanganyikiwa pesa yake imegoma nikamwambia asipaniki niliitoa Ile hela hakuamin
Mkuu kuwa huru unaweza kunipigia kwa 0624181846Mkuu nashukuru, nimafuata link ila nikachelewa ku verify ka msg nikikamilisha hiyo utaomba maelekezo
Angalia kwenye email yako sms ipo utaziona mkuuMkuu kuwa huru unaweza kunipigia kwa 0624181846
Mbon mie huwa natoa kwa Airtel master card na inakubali bila shda