Teja Junior
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 1,737
- 1,594
Salama Humu
qpr na mwenzake wameninyima laki tano wacha tujaribu siku nyingine
ALIYEFWATA HII WOOOOON KESHO ANZIA KWENYE SUPULet's try these 6.52 oddsView attachment 911445
Kama uliuchuku km ulivyokua mkuu KAWITHDRAW WOOOOONHivi mimi nikiweka mkeka hainipi code ? au hii ni kwa wanaotumia application ya simu tuu? naomba ufafanuzi wataalam maana nashindwa kuwashirikisha wengine nilicho bet
Me mwenyew kanikosesha ata kamtajiqpr na mwenzake wameninyima laki tano wacha tujaribu siku nyingine
View attachment 912350
Jamani iv niulize ikiwa handicap ya 1(-1) imanisha nini na (3.5) naomba kuzijua handicap zote za 1xbet vzr tafadhari
Mkuu, jitahidi kujifunza hivi vitu,unaweza hata ku google.. Vinaelezewa wazi. Ni vigumu mtu kuanza kukuelezea each.. Tusiwe wavivuPia 1(-2) 1 (0) 1(-2). 1(2.5). Sieliwi hizo handicap mlolongo wke
Hiyo team kichefuchefu achana nayokuna hiz mbwa za monaco nahisi kama kesho watashinda wana odd 1.8 kushinda hapa ndo najadili na ubongo nataka kuweka mzigo mana Henry hajashinda
Mitaji imeliwa wengine wamehamia ktk group za WhatsAppWatu awaonekani kabisa umu sijui ni mitaji shida au
Nenda kwenye setting turn off offersJaman msaada View attachment 912467
Naipata wapNenda kwenye setting turn off offers