Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 9,108
- 16,433
una namba zao za bongo.... naombaMimi situmii MPESA ILA WANANILETEA HIVYOView attachment 912016
una namba zao za bongo.... naombaMimi situmii MPESA ILA WANANILETEA HIVYOView attachment 912016
Kwenye app kuna sehemu ya kuchat nao moja kwa moja wanajua mpaka liswahiliuna namba zao za bongo.... naomba
nikichat Kule wananiletea maemailKwenye app kuna sehemu ya kuchat nao moja kwa moja wanajua mpaka liswahili
nikichat Kule wananiletea maemail
+254 702 400200 wacheki whatsappnikichat Kule wananiletea maemail
Hata game nzima bado pia ilikuwa ni loss maana hajapata goli, tuendelee tu kupambana haina kukata tamaa ila usimwambie Magu aufungie mchezo maana sungusungu ukiliwaga ada unakuwaga mbogo mkuu ahahhaha.
ila option ya direct win kwa pesa nying sio kabisa yanDaah mkuu tatzo mm nililiwaga laki9 na nilikuwa na system nzuri ya bila tamaa nilikuwa na bet game1 tu napiga ela balaa lkn kuna pepo liliingia wiki za nyuma kila game kubwa inazngua c baca wala Madrid wala bayan yan kila mkubwa niliisi moyo unatoka nilishindwa rudisha ela ad nkashuka dau et Leo naweza bet ad buku5 daah
Haaa bora yakomm mwenyewe nilitaka kuweka laki mbili kwa psg machale yakanijia atachana ikabid nimpe barcelona na psg kwa laki moja moja psg akazingua
Elfsborg MAGOLI YAMERUDI
MBAYANataka kumpa direct win.
Saiv mi nasoma tu sms hukuuWatu awaonekani kabisa umu sijui ni mitaji shida au