plock
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 425
- 428
Poa poa uendelee na moyo wako wa kuleta mikeka hata kama sio wote wanafata usikate tamaa wengine wanajifunza piaPamoja mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa poa uendelee na moyo wako wa kuleta mikeka hata kama sio wote wanafata usikate tamaa wengine wanajifunza piaPamoja mkuu
Hongera sana baada ya kukufatilia muda mrefu naona ni bora sasa utakachoweka kama ni kula tumpige wote mwenyew nime surrender hii kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naona hapa kumpata mchawi ngumu kidogo maana mwenye uwezo mzuri ndio anayeweza kumwangusha mtu , bora kama hivyo ulivyoweka tega hizo timu zikicheza acha odds zipande kwa timu moja wapo weka pesa tulia , kama ikiharibika hiyo moja hata ungeunganisha kwenye zote ingeharibu tu
Hahaha ile feeling unaona kale ka betlost keusi pembeni ya ticket pale. Na wekundu wa DrawYaani ukibet hiyo milioni unazima simu kwanza halafu unaenda jidunga jibapa kubwa kwa masaa 2...
Then baada ya hapo ndio unakuja kuwasha simu kujua mbivu na mbichi...
umenichekesha sana mkuu ujue.....ila void uwe unatupia na stake twende sambamba aise...
Hahaha ile feeling unaona kale ka betlost keusi pembeni ya ticket pale. Na wekundu wa Draw
mkuu ume analysing kwa kwa viwango vya hali ya juu sana.mkeka upo fresh sema si unajua anything can happen michezo yetu hii huwa always tupo katika risk.so una percent kama ya 10% ambayo ni risk ila 90% jiandae kuwithdrwal mkuu.
Mihemko hio. Ukipigwa unashuka stake, sasa we unataka ku rebound kwa mtaji wote?
Utashangaa mpira ulivyo wa ajabu. Hio timu unayoiamini itaposhindwa kufunga goli hata moja mpk dakika ya 90+
Mm ninachokifanya huwa ninaleta mapema possible utakuta Nina ifukuzia odd zipande. So Mara nyingi huwa naleta mapema kabla sijaplace ili kila anayehitaji afuate mapema au hapana naye afukuzie. Kwamfano Unakuta option ninayoitaka odd ziko 1.2 siwezi kuplace kwanza mpaka odd zisogee. Umenipata Mkuu.?we jamaa umeona tabia yako sasa uwe unani PM twende sawa kama unaogopa kuweka wazi stake yako..
Utakachopoteza na mm nikipoteza sawa tu aisee....
Mm ninachokifanya huwa ninaleta mapema possible utakuta Nina ifukuzia odd zipande. So Mara nyingi huwa naleta mapema kabla sijaplace ili kila anayehitaji afuate mapema au hapana naye afukuzie. Kwamfano Unakuta option ninayoitaka odd ziko 1.2 siwezi kuplace kwanza mpaka odd zisogee. Umenipata Mkuu.?
Hicho ni kibarua kingine Mkuu.nakuelewa boss, mm nataka unavyo place tu una ni tag aisee ili twende sawa...
ilitumia computerMkuu troublemaker zile mechi za jackpot uliscreen shot vipi hadi zote zimeenea katika picha moja?