Mapambano yanaendleaAsantee
Kipindi hiki kinaweza kua kigumu kwa mechi zilizobaki za ligi zitakazokutana na man u kutokana na kuona kua upo uwezekano wa city kuzingua, siku ibetia kishabiki ila upepo niliuona kwa nafasi zao ktk msimamo.Salute to you.....
Anyway,
mechi haijaisha bado
Mapambano yanaendelea
Jaman msaada wenu nmeshindwa namna ya kujaza salio 1x bet tayar nmeisha lipa Mpesa naile namba ya malipo nmeikopi sasa nikifungu sioni sehemu ya kujaza hili pesa isome kwenye account.
mkuu nimekuuliza unatumia kampuni gani kucheza inplay !? maana naona ina options nyingiMapambano yanaendlea
1xbet ndio hbr ya mjinimkuu nimekuuliza unatumia kampuni gani kucheza inplay !? maana naona ina options nyingi
Lete mambo mkuu, hapa nna mwani kaishanitia hasara, naomba leo ndio iwe mwisho, nirudishe gap zangu, niko macho sitak kupotea hata dk moja niskose odds km nilizozikosa hapo kati..Tuko pamoja mkuu
Mapambano yanaendelea
yeah nimergister 1xbet lakini kwa mfano option ya corner naona wanaweka tu over/under ila humu naona watu wanaweza kubet corner kwa team moja tu kwenye mechi husika1xbet ndio hbr ya mjini
Kaka hakuna options rahisi kote huko wenzio tumepita
LOST
Msaada jaman wadauJaman msaada wenu nmeshindwa namna ya kujaza salio 1x bet tayar nmeisha lipa Mpesa naile namba ya malipo nmeikopi sasa nikifungu sioni sehemu ya kujaza hili pesa isome kwenye account.
Unatumia mtandao gani kwani?Msaada jaman wadau
Big up to you.Kipindi hiki kinaweza kua kigumu kwa mechi zilizobaki za ligi zitakazokutana na man u kutokana na kuona kua upo uwezekano wa city kuzingua, siku ibetia kishabiki ila upepo niliuona kwa nafasi zao ktk msimamo.
1xbetmkuu nimekuuliza unatumia kampuni gani kucheza inplay !? maana naona ina options nyingi
InplayGem ya bayan vipi
Kwani hapa unakosa nini au macho yako yanaona Vizuri kwenye Group?Mwenye group la betting ani ad plzzz 0674250886
Incase unatumia laini ya vodacom baada ya kujaza hela kwny app subiri iingie sms ndo unailipia MPESA,kwa kufata hatua hizi namba ya kampuni ni 400700, no ya kumbukumbu 0081bet halafu kiasi cha fedha kisha unalipa,automatically fedha inaingia kwny account yako.Msaada jaman wadau