king fuu
Member
- Aug 22, 2017
- 41
- 16
Anitapeli nn nauku kasema free!!!!!!!Una nyota ya kutapeliwa
Anitapeli nn nauku kasema free!!!!!!!Una nyota ya kutapeliwa
Hata wao wanatabiri kama wewe, siyo lazima / ama kweli wale. Wanabahatisha tuu.Grup lako mbona mizinguo mingi hariruhusu kuliply wala kusend msg asa tutafanya vp mawasiliano na wewe????
Hujaona matangazo yeyote yuko?? we hujiuliz kwann kazuia mtu asichat?? ukipigwa pesa huna pa kusema, mwingine nae anapigwa hana pa kusema walau kushtua wengineAnitapeli nn nauku kasema free!!!!!!!
Nimekpata ila hela yangu asinge ipata ata kama angekua anatoa bashiri afu hela inafuataHujaona matangazo yeyote yuko?? we hujiuliz kwann kazuia mtu asichat?? ukipigwa pesa huna pa kusema, mwingine nae anapigwa hana pa kusema walau kushtua wengine
Katie sadaka kama umeliona hillGrup lako mbona mizinguo mingi hariruhusu kuliply wala kusend msg asa tutafanya vp mawasiliano na wewe????
Una nyota ya kutapeliwa
Mkuu nakuaminia weka mechi tatu tu naweka milioni moja. Napata 1.5m juu. Huwa nafatilia tips zako zimenipa mpunga sana. Ahsante sanaBragga gg
Everton gg
Lyon DC
Ac Milan win
Lazio win &ov 2.5
Bate gg n ov 1.5
[HASHTAG]#stake[/HASHTAG] max
tamaa mkuu, niliona barca ataniongeozea ongezea pesa hapo....ila ningeweka game tatu ngumu kumeza nkatia 10k nlikua naamka na 138kNgoja nikushauri kitu siku uliweka mkeka wa odds kubwa kubwa kama hizo game tatu zilikuwa zinatosha kabisa kulikuwa hakuna umuhimu wa kuweka hizo game zenye odds 1.18 na 1.29.
Ukiamua odds ndogo ndogo weka game zote hivyo.
Mikeka ya hivi inaumiza sana
Tamaa inatuponza wengitamaa mkuu, niliona barca ataniongeozea ongezea pesa hapo....ila ningeweka game tatu ngumu kumeza nkatia 10k nlikua naamka na 138k
mkuu we acha tu, bora uandae mkeka kwenye karatasi halafu ukaupaste kama ulivyo kuliko kuongeza odds 1.12 ya tamaa.Tamaa inatuponza wengi
*****
Dhaaaaaaaa!!! Aiseee af Tamamkuu we acha tu, bora uandae mkeka kwenye karatasi halafu ukaupaste kama ulivyo kuliko kuongeza odds 1.12 ya tamaa.
jana niliandika kwenye karatasi direct win za
chelsea
celtic
basel
psg
kuingia online shetani la barca linakipitia *****
Jaribu hop nimetumiwaa uaiogope manenoya juu unawajua wanaiger na mikwaraMkuu nakuaminia weka mechi tatu tu naweka milioni moja. Napata 1.5m juu. Huwa nafatilia tips zako zimenipa mpunga sana. Ahsante sana
Didy hebu nisaidie nataka kuweka hivi mkuuWakujaribu
------------------------------------------------------------
League : IRAN: Persian Gulf Pro League
Teams : Gostaresh - Tractor
Tip's : 0 - 2 ( C.Score )
Odd's : 15.00 ( In All Bokiees )
------------------------------------------------------------
Now I'm Help All Fans ! ! Hurry Stake High
Amount To Live A Luxery Life Maxbet...
Stolen
Huyu jamaa anaelement za utapeli nimeshitukaKatie sadaka kama umeliona hill
nyotayako bado inangaa kijana
Lkomo mtoekabsaDidy hebu nisaidie nataka kuweka hivi mkuu
Hapo mkeka umetiki mkuu watakuwekea salio si mda.Habari wadau, naingia m bet kuchek ticket yangu nakutana na hii kitu, msaada wadauView attachment 597334
Wakujaribu
------------------------------------------------------------
League : IRAN: Persian Gulf Pro League
Teams : Gostaresh - Tractor
Tip's : 0 - 2 ( C.Score )
Odd's : 15.00 ( In All Bokiees )
------------------------------------------------------------
Now I'm Help All Fans ! ! Hurry Stake High
Amount To Live A Luxery Life Maxbet...
Stolen