sunola
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 2,781
- 1,738
sawa boss ntazoliweka huku mkuuLeo wakiweka mtupe tips wakuu kwa ss tusio na Android Devices
sawa boss ntazoliweka huku mkuuLeo wakiweka mtupe tips wakuu kwa ss tusio na Android Devices
KmkuuuLeo wakiweka mtupe tips wakuu kwa ss tusio na Android Devices
mkuu umejipanga lakini kupokea pressure?maan huu mchezo full pressure c wengine tushakuwa sugu ndo maan tunasemaga NO RETREAT NO SURRENDERMsaada Nataka nianze kubet Leo Kwa mara ya kwanza nisaidie miongozo nikienda nimpige mhindi. Serious nahitaji kujua chochote hapa
Buku sio kesi Sana. NIMEFANYA gambling games chache hasa Ile ya slot in machine imenitafuna japo faida nilipata kidogo. Sasa Nataka niamie kwenye betting.. Nijuze ipi nzuri na uhakika wa kushinda pesa nyingi natakiwa nifanyeje. Mkuu mimi Nina nyota ya USHINDI toka Kwa MUNGU wetu. Subiri Muda sio mrefu nitawapa mrejesho lazima nishinde. Swali langu ni namna Gani mipangilio yangu na kiasi Gani kidogo nikitaka kuweka nishinde pesa nyingimkuu umejipanga lakini kupokea pressure?maan huu mchezo full pressure c wengine tushakuwa sugu ndo maan tunasemaga NO RETREAT NO SURRENDER
hapo sawa mkuu kumbe pressure ulishazizoea nikajua ndo kwanza unatak udumbukie huku kumbe we mkongwe bas karibu aiseee we shusha tu nondo hapa hakuna shidaBuku sio kesi Sana. NIMEFANYA gambling games chache hasa Ile ya slot in machine imenitafuna japo faida nilipata kidogo. Sasa Nataka niamie kwenye betting.. Nijuze ipi nzuri na uhakika wa kushinda pesa nyingi natakiwa nifanyeje. Mkuu mimi Nina nyota ya USHINDI toka Kwa MUNGU wetu. Subiri Muda sio mrefu nitawapa mrejesho lazima nishinde. Swali langu ni namna Gani mipangilio yangu na kiasi Gani kidogo nikitaka kuweka nishinde pesa nyingi
Nipe mechi nikutabirie ukachukue helahapo sawa mkuu kumbe pressure ulishazizoea nikajua ndo kwanza unatak udumbukie huku kumbe we mkongwe bas karibu aiseee we shusha tu nondo hapa hakuna shida
Doh...mkuu...unamatumaini....hadi..hatar...ila..huyu...mapilipili aka...Kanjibai...sio..mtu..wa..wasport..sportBuku sio kesi Sana. NIMEFANYA gambling games chache hasa Ile ya slot in machine imenitafuna japo faida nilipata kidogo. Sasa Nataka niamie kwenye betting.. Nijuze ipi nzuri na uhakika wa kushinda pesa nyingi natakiwa nifanyeje. Mkuu mimi Nina nyota ya USHINDI toka Kwa MUNGU wetu. Subiri Muda sio mrefu nitawapa mrejesho lazima nishinde. Swali langu ni namna Gani mipangilio yangu na kiasi Gani kidogo nikitaka kuweka nishinde pesa nyingi
Nimeskia story zake Lakini toka JUZI mchana MUNGU ananiotesha na kuniambia kuwa mimi natembea na USHINDI. Nimefarijika Sana Nataka nianze kumiliki pesa nyingi nitajaribu kubet si chini ya mara kumi na uhakika lazima nifanye maajabu. Lazima nitembee na USHINDI nitembee na pesa. JUMAPILI ijayo nafanya maandalizi ya kumtolea MUNGU shukrani ya pekee .. Kwa Leo nataka nijue mechi za kubashiri. Nina kitu FULANI inside of me. Huwezi kuamini mpaka week hii ipiteDoh...mkuu...unamatumaini....hadi..hatar...ila..huyu...mapilipili aka...Kanjibai...sio..mtu..wa..wasport..sport
Naomba...mawazo..yako...hapaNimeskia story zake Lakini toka JUZI mchana MUNGU ananiotesha na kuniambia kuwa mimi natembea na USHINDI. Nimefarijika Sana Nataka nianze kumiliki pesa nyingi nitajaribu kubet si chini ya mara kumi na uhakika lazima nifanye maajabu. Lazima nitembee na USHINDI nitembee na pesa. JUMAPILI ijayo nafanya maandalizi ya kumtolea MUNGU shukrani ya pekee .. Kwa Leo nataka nijue mechi za kubashiri. Nina kitu FULANI inside of me. Huwezi kuamini mpaka week hii ipite
Nataka...kujilipua...mapemaa...mawaz yenu...
View attachment 462168
Mechi ya Everton na Crystal palace.. Mshindi ni EvertonNaomba...mawazo..yako...hapa
Washindi wengine ni EspanolaNaomba...mawazo..yako...hapa
Japo nimechelewa kuamka ila angalau niliziwahi mechi mbili. Natumia oddshake na basketball tips
Mm..nilideposit..tarehe..hiyo..haikuingia..mpaka leo..hii..nimewapigia..kama...mara..tatu..wanasema..kuna..tatizo..kati..ya..system. .yao na..Mpesa...na...hawajui..ni..lini..litakuwa..solved...waliniambia..niende...betshop..yao...yoyote...tatizo..langu..litashughulikiwa...manually...sikwenda...kwasababu..nipo..mbali..na..mjiniWakuu naombeni ushauri..Tangu last week 14/01/2017 nimedeposit Tshs 100,000/= Meridian Bet lkn hadi nina type hapa pesa haijaingia kwenye stake na pesa ilishatoka kwenye tigopesa account yangu..
Mnanishauri nifanyaje maana nimeona humu pia wengi imewatokea je mmechukua hatua gani wahanga wenzangu au nyie mmeshatatuliwa tatizo?
mkuu mi nadhan ingekuwa bora kma tufanyavyo we suka mkeka kutikan na ulivyooteshwa uweke hapa jukwaani watu wajichambulie wnyeweNipe mechi nikutabirie ukachukue hela
Odds shake ni website , sijajua kama wanayo app. Link yao ni hiiMkuu unaweza kunipa muonekano wa hizo apps?