Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,049
- 11,628
Anakuumiza na bado unaendelea kumg'ang'ania tu Mkuu hilo ni kosa sasa jaribu kuihurumia pesa yakoHuyu nice kila siku ananiumiza lakini sikomi
Leo ile hela ya mwisho ya mshahara anaimalizia yeye🥹
Ndio kwanza taraehe 31
Jaman tubeti kistaarabu yamenikuta wiki hii🥹🥹🥹