Stuttgart hawaamini kimechowakuta🤣🤣🤣🤣

Baada ya kkuongoza 2 Bila wakaanza show game,WAHUNI wanasema subirini tuwaharibie
Yaani walikuwa wanamshusha Bayern Munich siku sio nyingi

Screenshot_20240331-201858.png
 
Yaaaani EPL mechi zote 10 nilizipa over 1.5 eti leo man city na arsenal wanatoka nyavu nyau daaaah!! Wakuu Hela ya Kanji ni tamu lakini ni ngumu sana yenye kukatisha tamaa😁😁
 
Back
Top Bottom