Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,022
- 10,190
Unatumia kampuni gani kwanza, mfano kama ni BETPAWA unaicopy hiyo code kisha unakwenda ku-paste kwenye booking code kisha unabonyeza LOAD zitakuja timu zote alizochagua alietuma code kisha na wewe unaweza ukazifanyia editing au ukaamua kurusha kama zilivyo.Wakuu naomba kueleweshwa kuhusu hizo code mnazotumia kwenye mikeka mfano AE130B???