Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,138
- 10,540
Option za hela.
Mkuu unajua kweli SRL inavyotoa matokeo ya kingese? Hapo kanji ndio anawafumua vizuri kwa kutumia kompyuta zake..kama unacheza SRL weka magoli ila sio direct winMalizia na hapa View attachment 2090992
Pia muwe mnafuatilia na form za timu...hawa norwich toka dean smith achaguliwe kuwa kocha unaona kabisa ari yao imekuwa kubwa na matokeo yao katika mechi za karibuni yamekuwa mazuri sana...so kuwabetia unatakiwa uwe mwangalifu..all in all mkuu ilikuwa bado kidogo tu ule ..kesho nayo sikuMKUU umeona mziki wa UNDER????? usipende under ni hatari sana, coz timu zote husaka magoli ili washinde hivyi timu hutumia nguvu kubwa kutafuta goli kuliko kuzuia goli.
Nina train la timu 24 lilishawahi kutiki kwa under ,Sasa unavosema hivo nabaki nakushangaa Lyon kashindwa over 1.5 , Norwich kaweza over 2.5 ......MKUU umeona mziki wa UNDER????? usipende under ni hatari sana, coz timu zote husaka magoli ili washinde hivyi timu hutumia nguvu kubwa kutafuta goli kuliko kuzuia goli.
Frankfurt anatahiriwa na watoto
Asante kwa maelezo mkuu.Hapo ni kama una options mbilii ikitiki moja kati ya hizo umeshinda
Home team akiwin
Mechi ikitoa gg pia vikitokea vyote ni sawa
Mkuu naomba offer ya dakika tu!!! nipige simu weee mpaka nilipwe HEla yangu ninayo daiHuduma Kama kawaida tigo gb 72 Kwa mwaka mzima Kila mwez unapata gb 6 Kwa siku 14 Kwa mwaka mzima kabsaaa njoo uungwe chapu
Pia free call yaan unapiga Bure kabsaa bila charges yeyote Kwa miaka 2 njoo pm nikuunge
Huduma nikwa tgo TU uaminifu ni
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hii inategemea na aina ya kampuni ya kubet...hii option ipo parimatchwakuu anayeweza kubeti namna hii naomba anielekezeView attachment 2085626
Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
Kalime urudishe pesa yako mkuuAfu pesa yangu naipataje??
Tangu lini we fala ukawa na bahati.Norwich hawezi kuzidisha magoli 2 mbele ya Watford
Man u??Ningekua na bet leo ningempa
Simba win
Man U win
70% uhakika
Nililima mananasi bagamoyo pale kihangwa nilichopata siri yangu...wale waswahili wanauza nanas mpaka sh 200..niliweka 10m ardhin nikaambulia 4.2m...nikasema Tawilee...baada ya hapo ni stress tupu mpaka barabara ya vumbi tu navushwa na mtoto wa chekechea...mi leo nakufa na jackport ya sportpesa tuu na betpawa yenye 5.5Billion wacha niwaze vikubwa tuuKalime urudishe pesa yako mkuu
Hapana ni.MAn Y?Man u??
SijakuelewaHapana ni.MAn Y?