DINHO
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 886
- 1,750
Nakupa Odd 2 tu..Nahitaji odds 3 za magoli leo,msaada wenu wakuu
Empoli vs Unidese Over 1.5 odd 1.25
Getafe vs Athletic Bilbao Over 1.5 Odd 1.64
Au zote weka BTTC
Nakupa Odd 2 tu..Nahitaji odds 3 za magoli leo,msaada wenu wakuu
64F7815
Odds 22, 962
Hizo odds zote hazina maana, maximum payout betPawa ni milioni 80.View attachment 2034878
Aisee
Betpawa nikiwaotea hii si watampiga picha hadi mke wangu na watoto kutangaza ushindi
Eeeh tupe uthibitisho mkuuHizo odds zote hazina maana, maximum payout betPawa ni milioni 80.
Eeeh tupe uthibitisho mkuu
Mkuu kwema?A15BBD8
Mechi 24 -34
Odds 3,509
View attachment 2034790View attachment 2034791View attachment 2034792
Mkuu, Lengo la kutuma code humu ni kusaidia kushea mawazo na wengine, mtu anaruhusiwa hata kuedit mechi moja nae anaweza kuituma tena humu. Hivyo sijaona ulazima wa kuchukia, hata treni likianguka mtu anaweza ku-rebet akalirudisha humu likaendelea na safari.Ok Wenda sikukuelewa
Nadhan hii 'Loss Allowance" wameweka kwa pande zote 2..ww ambae ikitokea umewapiga odds zote full bila kukosa hata 1 mfn..mkeka ulikua na 5000 odds wanakupigia kwa odds 700 inakua imewapunguzia na wao hasara kubwa na ya pilu endapo ww utakosa team 2 unazosema walau upate ki2 lkn all in all iyo option bd inamFavour bookie mwnyw.Mkuu kwema?
Nilikua nina ushauri mmoja, sio kwamba nataka uhamie Sportybet, ila hii inaweza kusaidia.
Sportybet wana option ya loss allowance, wenyewe wanaita "Flexy". Yaan kama mkeka una timu labda timu 30 na odds labda 5,000 unaweza kuweka loss allowance ya timu 2, odds zikapungua mpaka 700 labda.
Ndio kusema hutolipwa Kwa odds 5,000 Tena , bali odds 700 lakini hata ukipoteza timu 2 bado unalipwa mkeka wako. Hii inawafaa waweka matreni kama wewe maana yanakuaga na odds nyingi.
Faida yake ni kua utalipwa hata kama kwenye mkeka kuna timu iliyopoteza. Hasara yake ni kua unapewa odds chache kuliko odds zako halisi. Calculations wanavyofanya kuamua hizi odds hata mi sijui.
Jaribu hizi Mkuu
Ahsante mkuuNakupa Odd 2 tu..
Empoli vs Unidese Over 1.5 odd 1.25
Getafe vs Athletic Bilbao Over 1.5 Odd 1.64
Au zote weka BTTC
Yeah,Nadhan hii 'Loss Allowance" wameweka kwa pande zote 2..ww ambae ikitokea umewapiga odds zote full bila kukosa hata 1 mfn..mkeka ulikua na 5000 odds wanakupigia kwa odds 700 inakua imewapunguzia na wao hasara kubwa na ya pilu endapo ww utakosa team 2 unazosema walau upate ki2 lkn all in all iyo option bd inamFavour bookie mwnyw.
Mimi niliwekaga ten nilipambanaga na matren nikatoa laki mbiliLeo nimedeposit Betpawa 50k
Napita na kila code itakayo wekwa humu ndani kwa leo na kesho
Yaani hata kama treni la odd milioni naruka nalo kwa buku buku nione je kabla 50k haijaisha ntakua nimebahatisha?
Matreni only!!!!
Hawa m-lipa nijipu mkuu, wanakula kimasihara deposit zetu, mimi nimetelekeza akaunti Yangu sababu naogopa kueka helaUlikopi kwa usahihi Ref No mkuu
Maana zile No zipo nyingi ukikosea inakua mtihani
Wasiliana na mtandao wako wakikwambia ipo hewani subiri
Wakikwambia imefika wasiliana na M-Lipa
22bet wakati mwingine inazingua sababu wanawatumia Mlipa
hii wakiweka betpawa nitawala sana 😂Yeah,
Ndomana nkasema ina faida na hasara zake. Ukiweza kuwala Kwa odds zote 5,000 lakini wakakulipa Kwa odds 700 means hasara kwako na faida kwao.
Ila Kwa uzoefu tu wengi wetu tuliweka mabehewa ya odds 5,000 hayafikagi Kigoma
😂😂😂hii wakiweka betpawa nitawala sana 😂
DaaahSoon kila siku mkuu
Kabla ya bonus