Ze last Born
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 1,770
- 3,854
Kwa akili zangu mimi ninge- Cash out kwahiyo 170000 halafu nikasuka mkeka mwingine mpya wa leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndio hawa hawa waliopigwa na man u goli 4 kavu? Lazima Madrid ashindecashout mkuu..madrid game ngumu hyo..
HutoaminiSi ndio hawa hawa waliopigwa na man u goli 4 kavu? Lazima Madrid ashinde
cashout 170000...50000 ndo betia madrid pamoja na wengine..120000 tia takoniSi ndio hawa hawa waliopigwa na man u goli 4 kavu? Lazima Madrid ashinde
Okay sawa mkuu kwa ushauri mzuri ngoja niache tamaa ,maana na mwaka sijala pesa ya kanjicashout 170000...50000 ndo betia madrid pamoja na wengine..120000 tia takoni
Unabeti kwa ajili ya kujigurahisa au kupata faida
Lengo lako kubwa ni nini kwenye betting?
Kuna Masoko (option) unayafatilia zaidi na kuyafanyia tafiti?
Unabet kiasi gani cha pesa, ndogo zaidi upate return kubwa zaidi? Stake kubwa return ndogo!
LEO NAKUPA HII
Tafuta kampuni yenye option(soko) ya TOTAL GOAL RANGE kisha chagua 1-6 timu 12 = Odds 2.51 stake kuanzia 20K.
Kuna KUWIN na KULOST, ila hiyo option inamwaga hela
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Tofauti na meridian nan mwengine mwenye option hij maana meridian ananigomea kudeposit
Hivi kwanini sportpesa hawaweki cashoutGalbet ila kodi ni kubwa balaa,unatakiwa uweke stake ya maana
Hivi kwanini sportpesa hawaweki cashout
sawa..na hongera..sie kanji anatufanya vby na kipimo kipya cha korona aisee..Okay sawa mkuu kwa ushauri mzuri ngoja niache tamaa ,maana na mwaka sijala pesa ya kanji
Jiangalie madrid draw ,everton loseNimebadili wazo ngoja ni hold tu,. Madrid atashinda leo
....at his own risk