kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,025
- 3,463
mke wangu leo anaenda kuliwa na kanjiweka at mke utanishukuru baadaeView attachment 1713754
Sent from my SM-A805F using JamiiForums mobile app
mke wangu leo anaenda kuliwa na kanjiweka at mke utanishukuru baadaeView attachment 1713754
Sent from my SM-A805F using JamiiForums mobile app
Hii lazi ngumu hamna mfano mkuu yaani unachambua uwwzavyo ila wapiHakuna kazi ngumu duniani kama hii ya kubeti!
Weka hela ya maana sasa uone mhindi alivyo mpuuziHapa nilikuwa nafanya mazoezi tu, kumbe nikiweka mtaji uhakika wa kutengeneza mihela upo!
Unaimarisha au kulemaza upande m1 kabla ya mchezo kuanza. Yaweza kuwa goals, shots, corners, possession etcHandcap ndio inakuwaje? Naomba kuelekezwa
Upo vizur mkuu , sema mechi ya mwisho inakuaga na uchawiJana dakika ya 80 ajax alitundikwa goli la pili nikazima kabisa data leo naingia kusuka mkeka mpya, nakuta ule wa jana unapumua, kumbe lilegoli lilikataliwa, alafu ajax akapata goli la kusawazisha dkk ya 90. Najaribu kucashout wananikataliaView attachment 1714518
Ndio asee nimeshapigwa hapa hadi nimechakaaUpo vizur mkuu , sema mechi ya mwisho inakuaga na uchawi
Weka mtaji wa kutosha ndo utajua hujuiHapa nilikuwa nafanya mazoezi tu, kumbe nikiweka mtaji uhakika wa kutengeneza mihela upo!
Sijatengeneza code. Ila game mbili tu mkuu.Nipe hio code sheikhe nipite nayo kama upepo
Hio draw no bet inamaana gan?????
Timu fulani ishinde ikitoa draw, Hio mechi inakuwa voiled .inaondolewa kabisa kama ulikuwa umeweka timu 5 zinabaki 4Hio draw no bet inamaana gan?????