BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Sinasikia wameanza tumia tigopesa mpesa leooNimehangaika Sana Na 1xbet
Changamoto Ni Withdraw Na Deposit
Nimeona Bora Niache Tu, Nimepachoka
Kutoa Pesa Unakatwa, Kuweka Pesa Unakatwa Tens Sio Buku
Ni Zaid Ya Buku 3 Visa Card Ya BancABC
Na Kilichjonikwaza Ni Unatoa Pesa Muhamala Wanaufelisha Wenyewe 1xbet Ila Wanatuma Signal Kwa Operator Wa Card So Unakatwa Mtonyo Na Kama Huna Wanakuwekea Deni
Kuna Siku Nikajikuta Nadaiwa Elfu 15 Kisa Transaction Mbili Za Withdraw Ziligoma Via 1xbet.
So Nimeshindwa Mimi, Nimerud Betpawa, Naweka Pesa Hata Nikiamua Kuitoa Muda Huo Huo Bila Kubet Naitoa Na Sikatwi Chochote, Na Natoa Muda Wowote.
Wa 1xbet Endeleeni Ndugu.