Hardbody
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 3,552
- 3,808
Doh! Hatari sasa hiiSerikali imepiga ban kampuni kama 27 hivi. View attachment 1151933
Doh! Hatari sasa hiiSerikali imepiga ban kampuni kama 27 hivi. View attachment 1151933
1xbet ishakuwa nuksi hata huko Kenya.
Bado nimejaribu muda huu nimeambulia manundu.Wamemalizana
Baada ya wale tausi kufika huko kwa Uhuru 1xbet na makampuni mengine 27 wameonekana kama wanahujumu serikali.Wazee mnaotumia safaricom tupeni mrejesho kuhusiana na kinachoendelea huko kwa Uhuru Kenyatta..
Ahaaa ha ha...bado M7 kesho anabeba tausi wake na 1xbet Uganda kwaheri....Baada ya wale tausi kufika huko kwa Uhuru 1xbet na makampuni mengine 27 wameonekana kama wanahujumu serikali.
Faida tele kodi kiduchu.
Tumpe punda.Ahaaa ha ha...bado M7 kesho anabeba tausi wake na 1xbet Uganda kwaheri....
Leo Pdidy kawa msaada tena? Ama kweli maisha ni cycle.
@PDiddy twende kazi mkuu ... waache hawa wanaoku-ignore waendelee kuweka mikeka kwa buku buku wakisubiri miujiza.
Bado nimejaribu muda huu nimeambulia manundu.
Asante leti me tirayi.Nenda kwenye ku deposit click hiyo logo ya mpesa
Ingiza kiasi unachoweka,Jaza namba yako ya simu ikianza na kiunganishi cha kenya then confirm, watatuma push message kutoka SIGNALWAVE itakayokupeleka moja kwa moja ingiza PIN,
Pesa itaingia kwenye account yako ya 1xbet moja kwa moja bila makato within a minute
Nimetoka kuweka sasa hivi.
😂😂😂
Hawa wakenya washenzi sana, mimi nilikuwa natumia betin kucheza live casino na walivyo washenzi wameniharibia siku chache baada ya kubuni strategy matata sanaNuksi tupu huwezi kudepost wala kuwithdraw.
Asante, nimefanikiwa boss.NJIA MBADALA YA KU DEPOSIT 1XBET KWA WENYE LAINI ZA SAFARICOM
Nenda kwenye ku deposit click hiyo logo ya mpesa
Ingiza kiasi unachoweka,Jaza namba yako ya simu ikianza na kiunganishi cha kenya then confirm, watatuma push message kutoka SIGNALWAVE itakayokupeleka moja kwa moja ingiza PIN,
Pesa itaingia kwenye account yako ya 1xbet moja kwa moja bila makato within a minute
Nimetoka kuweka sasa hivi.
Asante, nimefanikiwa boss.
Alionekana m'baya alipokuwa anasema changia 10000 tumpige muindi.. Akaonekana ni wale wale wauza tips
Shida watu wanataka odds 200 waweke buku. Kushinda hiyo inatokeaga mara moja kwa mwaka.
Sisi wa stake mlima tuendelee kufuata.
#Watch me roar this...