Undetectable
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,403
- 1,724
Zozote anapokea ila inategemeana na ulivyojisajili.Anapokea za kibongo au tunaweka dollar mkuu?
Zozote anapokea ila inategemeana na ulivyojisajili.Anapokea za kibongo au tunaweka dollar mkuu?
Nashukuru mkuu.Zozote anapokea ila inategemeana na ulivyojisajili.
Mkuu naomba link ya kupata app ya 1xbet na je vipi ninaweza kutumia skrill kudeposite pesa?Unapata SMS gani?
mkuu nenda google type 1xbet utapata kila kituNisaidie link ya kupata app ua 1xbet na je vipi ninaweza tumia skrill deposite
mkuu nenda google type 1xbet utapata kila kitu
hiyo njia sijawah itumia mkuu nafikiri ina complication zake, labda utafute lain ya safaricom ndio njia rahisi zaidiNaweza deposite na kiwithdrew kwa kutumia skrill
hiyo njia sijawah itumia mkuu nafikiri ina complication zake, labda utafute lain ya safaricom ndio njia rahisi zaidi
hiyo njia sijawah itumia mkuu nafikiri ina complication zake, labda utafute lain ya safaricom ndio njia rahisi zaidi
Nimeweza deposite kwa skrill
Nieleweshe jns ya kutumia hyo skrill
Skrill ni kama payapal unaweza tuma na kupokea ela una ilink na account yako ya bank. So mm yangu sijailink na akaunt nimemwambia mtu mwenye ela kwenye akaint yake ya skrill anitumie kwenye skrill yangu then nikaenda 1xbet nikachagua deposite nkachagua skrill kisha nikachagua skrill wallet then nkaweka kiasi ikaniambia niweke skrill akaunt nikaweka then booom ikasoma hapo hapo
Nafunguaje hyo skrill account
Nenda www.skrill.com mkuu au download app yao toka playstore au app store
Aaah aaah wadau naandaa mikeka 36.
30 ni Jackpot m-Pawa.
3 -Mnet perfect 12.
3- Jackpot sport pesa.
Dua zenu wakuu.... Nitaleta mrejesho ila kuna hati hati ya kuwapiga hawa.
Minimum deposit n kuanzia sh ngap
Tshs 1500
Handcap zimetoa
Akina Samatta wameniangusha kupata goli View attachment 1126883View attachment 1126884