Etoo43
JF-Expert Member
- Feb 27, 2017
- 788
- 727
Msinione mbaya kuwauzia watu wa Dar na Moshi tu, hii ni kwa sababu sipendi biashara ya kutumiana pesa, watu wa Dar mtakuja wenyewe na pesa yako mkononi, unatoa pesa unavhukua line. Watu wa Moshi pia vivyo hivyo. Nategemea kufungua kituo makambako kwa watu wa kusini.Kweli aisee mkuu ngoja nijitahidi niipate hiyo line ila kuna mdau hapo Etoo43 kasema anazo ila anauza kwa watu wa Dar moshi tu ss sijui nani mwingine anazo