Huyu mama nimemkubali sana na sijui kwanini sikuwahi kumsikia kabla ya uchaguzi! Naunga mkono hoja ila natamani ateuliwe kuwa mbunge tuu na asipewe uwaziri maana ndani ya serikali ya ccm anaweza akaonekana tofauti kutokana na mfumo.
Humu jamiiforum kuna vichwa vizuri vingi tu hasa kwenye mambo ya uchumi. Magufuli tumia system yako kuwapata wakusaidie katika kuendesha nchi. These are a hidden resource!