Some people are still alive because it is ilegal to .................Hapa Tutakutana Kujadili Na Kuunga Juhudi Utendaji Kazi Wa Mhe Rais Wetu Pamoja Na Serikali Yake
Hii Ni special Kwaajili Ya Matukio Yote Yanayo Muhusu Mhe Wetu Rais Magufuli
Kupeana Habari Nk
Haya Team JPm Tukae Humo View attachment 1367497
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo huu uzi ni maalum kwaajili ya maigizo ya Jiwe a.k.a Meko?
Mkuu, nadhani ni fair kutuacha tunaounga mkono juhudi tukajadiliana jinsi ya kumsaidia mh JPM kwa yale anayoyafanya badara kuleta uchuro wako wa kusema humpendi. Nakushauri uanzishe uzi wako kwa ajili yenu mnaounga mkono ushoga wa kamanda msaliti ili na nyingi mpate uzi wa kujinafasi.Kuunga juhudi?.... Sijui kwa wengine ila hakuna rais alienikela kama huyu wa sasa.... Mazuri yake machache Yamefunikwa na mabaya tupu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, nadhani ni fair kutuacha tunaounga mkono juhudi tukajadiliana jinsi ya kumsaidia mh JPM kwa yale anayoyafanya badara kuleta uchuro wako wa kusema humpendi. Nakushauri uanzishe uzi wako kwa ajili yenu mnaounga mkono ushoga wa kamanda msaliti ili na nyingi mpate uzi wa kujinafasi.
Hapa Tutakutana Kujadili Na Kuunga Juhudi Utendaji Kazi Wa Mhe Rais Wetu Pamoja Na Serikali Yake
Hii Ni special Kwaajili Ya Matukio Yote Yanayo Muhusu Mhe Wetu Rais Magufuli
Kupeana Habari Nk
Haya Team JPm Tukae Humo View attachment 1367497
Sent using Jamii Forums mobile app
sipo hapa kuwa-Impress wengi nipate jina kubwa alafu mfuko empty
Ushauri wangu asichukue form 2020 ili kuinusuru Tanzania kutengwa na jumuiya ya kimataifa na kuunusuru uchumi wa nchi.
Reli itamalizwa kwa utaratibu mzuri zaidi wenye tija
Sent from my iPad using JamiiForums