the field marshal
Member
- Dec 18, 2019
- 63
- 92
Kipekee kabisa nipende kumshukuru mweshmiwa daktare samia suluhu hassan rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania.
bila jitihada za serekari yake ya awamu ya sita nisingepata seat kwenye hii daladala ya inayokwenda mbagala!
bila jitihada za serekari yake ya awamu ya sita nisingepata seat kwenye hii daladala ya inayokwenda mbagala!