Kama umeshaelewa kuwa haukuwa sahihi yatosha....
Ushawahi kumsikia Descrates ‘genius devils argument’ kwenye kuelezea arguments za mungu ndio nimekuachie hapo.

Kwenye vichwa vyenu siasa ni porojo. Ndugu siasa ni science ambayo imeanzia kwenye philosophy, ikatengeneza mitazamo ya siasa za wazungu inayotumika mpaka leo na kwenye ulazima hiyo mitazamo ikatungiwa sheria. Sie tukaja kupata uhuru tutafanya copy and paste ya sheria na baadhi ya mitazamo.

Sasa ukitaka kuelewa misingi ya sheria za bunge na usimamizi wa serikali kamsome Aristotle na ukitaka kujua muundo wa serikali kuu pekee kamsome Plato. Ukiwasoma hao watu unapata logic ya kwanini vitu vipo vilivyo.

I always kuna wachangiaji wengi sana kwenye jukwaa la siasa awajawahi soma ata foundation za vitabu vya siasa nazungumzia vitabu vya A level tu hapa.

I am out.
 
Ushawahi kumsikia Descrates ‘genius devils argument’ kwenye kuelezea arguments za mungu ndio nimekuachie hapo.

Kwenye vichwa vyenu siasa ni porojo. Ndugu siasa ni science ambayo imeanzia kwenye philosophy, ikatengeneza mitazamo ya siasa za wazungu inayotumika mpaka leo na kwenye ulazima hiyo mitazamo ikatungiwa sheria. Sie tukaja kupata uhuru tutafanya copy and paste ya sheria na baadhi ya mitazamo.

Sasa ukitaka kuelewa misingi ya sheria za bunge na usimamizi wa serikali kamsome Aristotle na ukitaka kujua muundo wa serikali kuu pekee kamsome Plato. Ukiwasoma hao watu unapata logic ya kwanini vitu vipo vilivyo.

I always kuna wachangiaji wengi sana kwenye jukwaa la siasa awajawahi soma ata foundation za vitabu vya siasa nazungumzia vitabu vya A level tu hapa.

I am out.
Hayo yote hayakuhusiana na mjadala,cha muhimu umeshaelimishwa bure bila ada.Kwa heri
 
Hayo yote hayakuhusiana na mjadala,cha muhimu umeshaelimishwa bure bila ada.Kwa heri
Nimekuacha kwa sababu nimekuona ni mtu mjinga.

Katiba ipo wazi nani anasifa za kuwa speaker na ofisi ya mwanasheria mkuu iko wazi ni taasisi iliyochini ya wizara ya katiba na sheria.

Sijibizani kwa misingi ya ‘evil demon’ 👋
 
Mbunge sana awe waziri lkn sio kupew kazi mbilimbili! Ka budi kama nimbunge aachwe atumikie jimbo lake sio kupachikwa mikazi miwilimiwili watu tuko wengi
 
Nijuavyo Katiba siyo msahafu.

Ngoja niipitie kwanza katiba ya JMT kifungu kwa kifungu hadi nimalize ibara husika, nitarejea.

Maendeleo hayana vyama!
 
Tanzania inaongozwa kwa katiba 80% na kwa common sense 20%. Pia kwa kufanya reference kwenye katiba na baadhi ya sheria pale itakapohitajika.
 
Msio jua, huko tunako elekea Rais anaenda kufanya vyema kuliko yoyote, maana anaenda kuvunja rekodi, usalama walijiona wako juu ya mtu yoyote Sasa wamepata watu WA kuwachunguza, barazani kuweni makini Sasa tuna informer after informer nao ni wawili na nimeskia nao wameambiwa watafute vijana wao wataako kuwa wanaripoti kwao.
 
Ohoooo JK alipuuzilia mbali taarifa alizokua anapewa na vijana ambao Nchi inawasomesha na kuwagharamia kwaajili ya Nchi.

Kwa muktadha wa Mada yako. Nikwamba Mama naye kaona Taarifa za Vijana hazimtoshi?

Inamaana kabudi na lukuvi ,hao vijana watawatoa wapi?
 
It's time to give power to new generation an kuachana an mawazo mgando na kwa style ile ile kila siku. Dunia inabadilika we are in 4th Industrial revolution hizi sii enzi zao. Waache wapumzike tusinganganie.
 
Guys Huyo Lukuvi anapangiwa Lini hiyo Kazi? Naje kwa sasa wakati anasubiria Analipwa Mshahara wa Uwaziri au Yupo Home hana kazi mpaka atakapo pangiwa Kazi?
 
Back
Top Bottom