Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,361
- 6,877
[QUOTE="Molemo,
Mimi nilijiuliza swali moja kubwa la msingi sana, kwamba: "TUMEFARAKANA LINI HADI KUFIKIA HATUA KUBWA HIVI YA KUHITAJI MARIDHIANO YA KITAIFA?"
Kauli ya Mh.Freeman Mbowe: "....Rais leta maridhiano ya Kitaifa, sisi CHADEMA tuko tayari....." ni nzito na pengine anaweza kuwa aliitoa pasipo kuwa anaelewa uzito wa kile alichoongea. Kwa mtizamo wangu mimi, tuna tofauti za msingi tu za ki-itikadi ambazo zipo kila mahali popote duniani, ambazo huwa hazikosekani katika mazingira yoyote yale ambapo Siasa ipo, na kwa sababu hakuna mahali ambapo Siasa haipo.
Basi kinachoendelea ndani ya Nchi yetu ni maisha tu yale ya kawaida, na harakati za kawaida za binadamu waliomo kwenye Siasa na wasiokuwemo. Sasa hili la kusema Rais alete maridhiano, lini tumefarakana kiasi cha kufikia stage ya kuhitaji kitu kama hiki? Mimi siyo Political Scientist lakini ninachokiona hapa Mh. Mbowe ni kama alimaanisha maridhiano yanayohusiana na situtaion kama iliyowahi kutokea Kenya mwaka 2007 halafu Rais Mstaafu JK akaenda kuokoa jahazi!
Mimi nilijiuliza swali moja kubwa la msingi sana, kwamba: "TUMEFARAKANA LINI HADI KUFIKIA HATUA KUBWA HIVI YA KUHITAJI MARIDHIANO YA KITAIFA?"
Kauli ya Mh.Freeman Mbowe: "....Rais leta maridhiano ya Kitaifa, sisi CHADEMA tuko tayari....." ni nzito na pengine anaweza kuwa aliitoa pasipo kuwa anaelewa uzito wa kile alichoongea. Kwa mtizamo wangu mimi, tuna tofauti za msingi tu za ki-itikadi ambazo zipo kila mahali popote duniani, ambazo huwa hazikosekani katika mazingira yoyote yale ambapo Siasa ipo, na kwa sababu hakuna mahali ambapo Siasa haipo.
Basi kinachoendelea ndani ya Nchi yetu ni maisha tu yale ya kawaida, na harakati za kawaida za binadamu waliomo kwenye Siasa na wasiokuwemo. Sasa hili la kusema Rais alete maridhiano, lini tumefarakana kiasi cha kufikia stage ya kuhitaji kitu kama hiki? Mimi siyo Political Scientist lakini ninachokiona hapa Mh. Mbowe ni kama alimaanisha maridhiano yanayohusiana na situtaion kama iliyowahi kutokea Kenya mwaka 2007 halafu Rais Mstaafu JK akaenda kuokoa jahazi!