ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 8,571
- 7,219
Alikuwa kazini, au siku hizi kufanya kazi ni kuzurula?Jana Kuzurula Dar leo Kupumzika Dom.
Alikuwa kazini, au siku hizi kufanya kazi ni kuzurula?Jana Kuzurula Dar leo Kupumzika Dom.
anaapisha kwa mujibu wa taratibu za nchi, anachofanya kiko kwenye Sheria, sasa kama Sheria itamruhusu kuchagua wajumbe wa nyumba kumi pia atafanya hivyo bila tatizoItabidi hata cleaners nao wawe wanaapishwa. She will soon run out na wakuapishwa. Those are government employees, panga pangua - a bizarre exercise to show how much power she has now. I suggest she start appointing wajumbe wa Nyumba Mimi.
Fala ww, Rais haitaji kusifiwa na mbuzi Kama wwJana Kuzurula Dar leo Kupumzika Dom.
Ni sehemu ya majukumu yake, kama anaiweza apongezweHii kazi ya kuteua na kuapisha anaiweza sn
kafie mbali,, yule dikteta zuzu amewaharibu akili yenuItabidi hata cleaners nao wawe wanaapishwa. She will soon run out na wakuapishwa. Those are government employees, panga pangua - a bizarre exercise to show how much power she has now. I suggest she start appointing wajumbe wa Nyumba Mimi.
Tulia kwanza,hebu kunywa majiItabidi hata cleaners nao wawe wanaapishwa. She will soon run out na wakuapishwa. Those are government employees, panga pangua - a bizarre exercise to show how much power she has now. I suggest she start appointing wajumbe wa Nyumba Mimi.
Huyu ngoma ngumu!engen hiyoo muhimuHuyu Mkuchika ilibidi astaafu Sasa.
Nimpongeze kwani anafanya bure?Ni sehemu ya majukumu yake, kama anaiweza apongezwe
Kwahiyo kumbe pongezi upewa watu wanaofanya bure tu?Nimpongeze kwani anafanya bure?
Apambane na hali yakeKwahiyo kumbe pongezi upewa watu wanaofanya bure tu?
Pongezi - akitimiza wajibu.Kwahiyo kumbe pongezi upewa watu wanaofanya bure tu?
Huyu mzee nae anatakiwa apumzike, tokea enzi za Nyerere yupo, enzi za Mwinyi yupo, enzi za Mkapa yupo, enzi za Kikwete yupo, enzi za Magufuli yupo, enzi za Samia yupo( kwa sauti ya Mheshimiwa sana Makongoro Nyerere ). Hana tofauti na akina Wassira!Waziri wa nchi OFISI YA RAIS....alishateuliwa siku nyingi....
Kazi inaendelea kama kawaidaApambane na hali yake
🤣🤣🤣Ukitaka Cha Uvunguni Sharti Uiname
""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""
Bwana Bure Hayupo!!😆😅😄😃😂😁😁😀