Kazi Inaendelea.Sawa, tunasubiri utekelezaji
Awamu ya 2 na 4 kuna mambo gani unayakumbuka?Kila nikimkumbuka SSH, ninakumbuka awamu ya pili na ya nne
Uswahili na maneno mengi kuliko vitendo. Mfano slogan ya kilimo Kwanza .Awamu ya 2 na 4 kuna mambo gani unayakumbuka?
Duuuuuuuuh, kilimo kwanza kilitekelezwa kwa kiasi chake.Uswahili na maneno mengi kuliko vitendo. Mfano slogan ya kilimo Kwanza .
Kilibadilishwa kikawa kununua mashangingi ( magari) yakaitwa kilimo Kwanza.Duuuuuuuuh, kilimo kwanza kilitekelezwa kwa kiasi chake.
Mafanikio yalikuwepo ikiwemo kuongezeka kwa uzalishaji katika sekta ya kilimo, kulima kisasa na mengineyo. Changamoto hazikosekani. Tusonge Mbele Bila Kusita.Kilibadilishwa kikawa kununua mashangingi ( magari) yakaitwa kilimo Kwanza.
Nakusalimu kwa jina la Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania.Ccm mbele kwa mbele
Dar imetulia kwa muda mfupi tu kutokana na kazi ya mwanaume Wambura, muraa sijiu mwenzetu unataka nini sasa.Afande Samia Suluhu kwa Wambura umedanganywa sio kweli kwamba anafanya kazi kwa ufanisi bali kuna msukumo nyuma yake unaomtengenezea mazingira kwa matumizi yao ya baadae.
Acheni uchochezi tena wenye chuki binafsi ndani yake.Katika hali ambayo nmeipenda ni Rais kuwa Mkweli kuwa kwa Mwanza amewapelekea Bomu. Uliandikwa humu Uzi kuwa Kwa nini ameamua kuwaadhibu wananchi wa mwanza kwa Kuwapelekea Chalamila.
View attachment 1806666
Anaposema ni MLIPUKAJI. KINACHOLIPUKA SI NI BOMU? au mimi nmewaza mbali sana? Then kwa nini uwapelekee watu kitu kinacholipuka? Si unataka kuwaua? Je haioneshi kuwa unawachukia? Au alitaka sema nini hapa?