Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,624
Hapa ndipo tunapoona umuhimu wa katiba mpyaMh.Rais amewaasa MARAS na WAKUU WA MIKOA wakawasikilize vyema WADAU wa chama hususani wanapotaka ILANI YA CHAMA CHAO ITEKELEZWE IPASAVYO.....
Mh.Rais SSH amewakumbusha wote wakiwemo na wale ambao walikuwa/wametoka UPINZANI,ya kwamba WAMEAPA kuisimamia ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI na kuwa si HIYARI ila ni lazima....
Je umeshawahi kuyasikia maneno ya kiongozi mteuliwa wa RAIS ambaye huwa ameshawahi kusema kuwa yeye ni mtumishi na mtendaji tu wa SERIKALI na chama cha CCM hakimhusu kihivyo?!!🤣
TUTUPIE USHUHUDA WAKO HAPA.....
#KaziIendelee
#NchiKwanza
#SiempreCCM