Ikichunguza kwa makini utagundua miaka ya hivi karibuni kumekuwa hakuna mabadiliko makubwa ya kiutawala kama miaka ya nyuma kabla ya hizi tawala mbili za hapa mwisho.
Hili jambo limefanya kuwe na shida na utemi kwa hawa watawala. Je ni kwamba CCM kwa sasa inachukua mlengo wa kikoloni zaidi ya...
Indicator iwe ni kero ya ardhi mkoani na wilayani kwake; mfukuze.
Wakuu wa Mikoa na Wilaya kama watafanyakazi za kuhudumia wananchi vizuri badala ya kujihudumia wao wenyewe hautakuwa na sababu ya maana ya kwenda mikoani na wilayani kusikiliza kero za kunyang'anyana ardhi na nyumba.
Wakuu wetu...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe, amewataka Wakuu wa Mikoa nchini kuhakikisha Halmashauri zinaweka mipango madhubuti ya kuendeleza uzalishaji wa nafaka na mazao mchanganyiko kwa kuzingatia kanuni za kilimo bora.
Prof. Shemdoe ametoa wito huo leo Aprili 16...
Hawa ma rc na ma DC, Nyerere aliamua kuwarithi kutoka katika mifumo ya kikoloni.
Hawa wananguvu kuliko mbunge, hawa ni ma puppet wa raisi hawana kazi nyingine.
Nipo hapa Dodoma, Wakuu takribani wote wa Mikoa tupo nao mitaani tunakutana Bungeni tu, nilipowauliza wanafanya nini wametujulisha kuwa walikuja hapa zaidi ya wiki tatu zilizopita kwa ajili ya kusikiliza hotuba ya Bajeti ya Waziri Mkuu.
Miaka ya nyuma ilikuwa kawaida wakati wa Hotuba ya Waziri...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Kitila Mkumbo, amesema Serikali inapanga kuanza kupima utendaji wa kila mkoa kulingana na uwezo wake wa kuwezesha biashara na kuvutia uwekezaji.
Akizungumza katika Mkutano wa Uhakiki wa Rasimu ya Mpango wa Pili wa Kuboresha Mazingira ya...
Zamani wakuu wa Mikoa na Mawaziri walidumu mno kwenye nafasi zao.
Hapakuwepo hizo teua asubuhi tengua jioni
Shule tuliwajua wakuu wa mikoa wote na Mawaziri tuliwajua pamoja na wizara walizohumu
Mkuu wa mkoa alidumu zaidi ya miaka 15
1. Dar ES Salaam
Alikuwepo
Abbas Kando _ hadi Leo maji ya...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kuepuka mashikizo ya kisisa akieleza kuwa kuwa mshikamano kati ya uongozi wa kisiasa na uongozi wa kijeshi ni nguzo muhimu ya usalama wa Taifa, hata hivyo...
Mh Rais NATUMAI HUJAMBO na shikamoo!
MH RAIS Kwa Hali ya upepo tuliyonayo Tanzania bara nashauri tafadhali. Badilisha wakuu wa mikoa na wilaya pamoja na wakurugenzi
MH RAIS Kuna walio tuumiza kabla ya uchaguzi tunapoendelea kiwaona maofisini tunashikwa na hasira.
MH RAIS tunaomba na IGP mpya...
Tutaheshimiana tu, maandamano ya MO29, yalijawa na vitisho sijawai kuona.
Nchi nzima polisi, JWTZ magereza na Tiss walikuwa wanazunguka mabarabarani na outdated armed vehicle and tanks kutisha waandamanaji.
Chalamila kila siku alikuwa anatoa matamko, kina Muliro walifikia hatua ya kusema "Kwa...
Mdau unayajua majukumu ya mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya?
"Futa wakuu wa wilaya, futa wakuu wa mikoa, hakuna kazi wanayofanya" Boniface Mwabukusi, Rais wa Chama cha wanasheria wa Tanganyika (TLS).
RAIS SAMIA HASSAN KUONGEA NA TAIFA KUPITIA MKUTANO WAKE NA WAZEE 27 AGOSTI 2025
Mh. Samia Suluhu Hassan kesho atazungumza na wazee pamoja na wakuu wa mikoa wote, mheshimiwa rais amebainisha jambo hilo leo tarehe 26 Agosti 2025 Ikulu.
Kihistoria utamaduni wa rais kuongea na wazee ni jukwaa...
Sote tunafahamu kuwa Makonda alikuja Arusha baada ya kuteuliwa kuwa mkuu wa Mkoa.
Kabla ya hapo, hakuwahi ishi zaidi ya mwaka mmoja.
Hana makazi ya kudumu.
Hajui matatizo ya watu wa Arusha na kuyasemea kwa undani kama mzawa.
Uwepo wake ni baada ya uteuzi tu, kama asingeteuliwa asingegombea...
Sheria mpya inampa mamlaka Rais ambaye ni mwenyekiti wa chama tawala kuweza kuweka wabunge wake hata kama hawakupita kura za wajumbe, Tunakoelekea sio kuzuri.
Hii ina hatari hasa kwa kuweka wabunge ambao hata hawajakulia katika majimbo
Tangu juzi tumeona Ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikali ikiwaleta Wakuu wa Mikoa kueleza kilichofanyika katika mikoa yao katika kipindi cha miaka minne ya uongozi uliopo madarakani.
Ni wazi kuwa katika kila mafanikio changamoto hazikosekani. Sasa mimi hupenda kufuatilia mawasilisho hayo, lakini...
Wana JF
Haya ni maneno ya Raisi akiwaapisha viongozi leo : "Wakuu wa MIKOA, shirikianeni na chama kipindi hiki cha uchaguzi"
Hii inaleta picha gani kipindi hiki cha uchaguzi .?
Kuna maisha baada ya uchaguzi
Je, sisi Raia wa Oman tunajua hasa maana ya Balozi (Diplomat) na Mtu kuwa Balozi?
au tunapoteua huwa tunakuwa tumeshakunywa Wines zetu za Canada na Ufaransa?
Hongereni Watani zangu Washamba Waha kutoka Kigoma kwa Katibu Mkuu wa UN kuwaleteeni Balozi labda mtabadilika sasa na kuwa Wastaarabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.