wakuu wa mikoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania CCM kwa sasa imetengeneza kundi la kiutawala. Wakuu wa mikoa na wilaya pamoja na wakurugenzi wamekuwa maofisa wakazi wa kudumu

    Ikichunguza kwa makini utagundua miaka ya hivi karibuni kumekuwa hakuna mabadiliko makubwa ya kiutawala kama miaka ya nyuma kabla ya hizi tawala mbili za hapa mwisho. Hili jambo limefanya kuwe na shida na utemi kwa hawa watawala. Je ni kwamba CCM kwa sasa inachukua mlengo wa kikoloni zaidi ya...
  2. kavulata

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu jipunguzie kazi kwa kufukuza Wakuu wa Mikoa na Wilaya

    Indicator iwe ni kero ya ardhi mkoani na wilayani kwake; mfukuze. Wakuu wa Mikoa na Wilaya kama watafanyakazi za kuhudumia wananchi vizuri badala ya kujihudumia wao wenyewe hautakuwa na sababu ya maana ya kwenda mikoani na wilayani kusikiliza kero za kunyang'anyana ardhi na nyumba. Wakuu wetu...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Prof. Shemdoe awataka Wakuu wa Mikoa kusimamia Halmashauri ziwe na mipango Madhubuti ya kuzalisha Nafaka na Mazao

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe, amewataka Wakuu wa Mikoa nchini kuhakikisha Halmashauri zinaweka mipango madhubuti ya kuendeleza uzalishaji wa nafaka na mazao mchanganyiko kwa kuzingatia kanuni za kilimo bora. Prof. Shemdoe ametoa wito huo leo Aprili 16...
  4. E

    JamiiForums Tanzania Katika watu useless Tanzania ni Hawa wakuu wa mikoa na wilaya, wabunge wa kuteuliwa na viti maalum ni vyawa rasmi wa Rais katiba mpya tuwakatae

    Hawa ma rc na ma DC, Nyerere aliamua kuwarithi kutoka katika mifumo ya kikoloni. Hawa wananguvu kuliko mbunge, hawa ni ma puppet wa raisi hawana kazi nyingine.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kuna umuhimu gani wa Ma-RC kuweka kambi Dodoma kufuatilia Hotuba ya Waziri Mkuu kwa zaidi ya Mwezi sasa?

    Nipo hapa Dodoma, Wakuu takribani wote wa Mikoa tupo nao mitaani tunakutana Bungeni tu, nilipowauliza wanafanya nini wametujulisha kuwa walikuja hapa zaidi ya wiki tatu zilizopita kwa ajili ya kusikiliza hotuba ya Bajeti ya Waziri Mkuu. Miaka ya nyuma ilikuwa kawaida wakati wa Hotuba ya Waziri...
  6. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Kitila: Tutaanza kuwapima Wakuu wa Mikoa katika kuvutia uwekezaji na kulinda biashara

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Kitila Mkumbo, amesema Serikali inapanga kuanza kupima utendaji wa kila mkoa kulingana na uwezo wake wa kuwezesha biashara na kuvutia uwekezaji. Akizungumza katika Mkutano wa Uhakiki wa Rasimu ya Mpango wa Pili wa Kuboresha Mazingira ya...
  7. ngara23

    JamiiForums Tanzania TBT: Wakuu wa Mikoa maarufu hapa TANZANIA, walijulikana mno na kila Mtanzania

    Zamani wakuu wa Mikoa na Mawaziri walidumu mno kwenye nafasi zao. Hapakuwepo hizo teua asubuhi tengua jioni Shule tuliwajua wakuu wa mikoa wote na Mawaziri tuliwajua pamoja na wizara walizohumu Mkuu wa mkoa alidumu zaidi ya miaka 15 1. Dar ES Salaam Alikuwepo Abbas Kando _ hadi Leo maji ya...
  8. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: JWTZ ijiepushe na mashinikizo ya kisiasa

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kuepuka mashikizo ya kisisa akieleza kuwa kuwa mshikamano kati ya uongozi wa kisiasa na uongozi wa kijeshi ni nguzo muhimu ya usalama wa Taifa, hata hivyo...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Kuelekea D9 je kuna Nywi Nywi Kutoka Aliye jisimika au Polisi au wakuu wa mikoa au wakuu WA wilaya àu makada WA sisiemu

    Kuelekea D9 tungependa kujua kama kuna Nywi Nywi toka Kwa watajwa hapo juu, ili watu waweze kuchukua taadhari au sasa hivi kauli itatoka kwa Nchemba
  10. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais tubadilishie Wakuu wa Mikoa, Wilaya, IGP na Mapolisi wahamishwe vituo

    Mh Rais NATUMAI HUJAMBO na shikamoo! MH RAIS Kwa Hali ya upepo tuliyonayo Tanzania bara nashauri tafadhali. Badilisha wakuu wa mikoa na wilaya pamoja na wakurugenzi MH RAIS Kuna walio tuumiza kabla ya uchaguzi tunapoendelea kiwaona maofisini tunashikwa na hasira. MH RAIS tunaomba na IGP mpya...
  11. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kulikoni sioni tena vitisho vya polisi na wakuu wa mikoa juu ya D9

    Tutaheshimiana tu, maandamano ya MO29, yalijawa na vitisho sijawai kuona. Nchi nzima polisi, JWTZ magereza na Tiss walikuwa wanazunguka mabarabarani na outdated armed vehicle and tanks kutisha waandamanaji. Chalamila kila siku alikuwa anatoa matamko, kina Muliro walifikia hatua ya kusema "Kwa...
  12. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwabukusi: Futa wakuu wa wilaya, futa wakuu wa mikoa, hakuna kazi wanayofanya

    Mdau unayajua majukumu ya mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya? "Futa wakuu wa wilaya, futa wakuu wa mikoa, hakuna kazi wanayofanya" Boniface Mwabukusi, Rais wa Chama cha wanasheria wa Tanganyika (TLS).
  13. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia Kuongea na wazee pamoja na wakuu wa Mikoa kesho 27 /08/ 2025

    RAIS SAMIA HASSAN KUONGEA NA TAIFA KUPITIA MKUTANO WAKE NA WAZEE 27 AGOSTI 2025 Mh. Samia Suluhu Hassan kesho atazungumza na wazee pamoja na wakuu wa mikoa wote, mheshimiwa rais amebainisha jambo hilo leo tarehe 26 Agosti 2025 Ikulu. Kihistoria utamaduni wa rais kuongea na wazee ni jukwaa...
  14. Stroke

    JamiiForums Tanzania Kumruhusu Makonda kugombea ni sawa na kuruhusu mvurugano baina ya wakuu wa mikoa, wilaya na wabunge kwenye kila mkoa

    Sote tunafahamu kuwa Makonda alikuja Arusha baada ya kuteuliwa kuwa mkuu wa Mkoa. Kabla ya hapo, hakuwahi ishi zaidi ya mwaka mmoja. Hana makazi ya kudumu. Hajui matatizo ya watu wa Arusha na kuyasemea kwa undani kama mzawa. Uwepo wake ni baada ya uteuzi tu, kama asingeteuliwa asingegombea...
  15. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais tunakuomba ufute sheria ya kututeulia wabunge na madiwani. Tayari una nguvu ya kuteua wakuu wa mikoa na wilaya

    Sheria mpya inampa mamlaka Rais ambaye ni mwenyekiti wa chama tawala kuweza kuweka wabunge wake hata kama hawakupita kura za wajumbe, Tunakoelekea sio kuzuri. Hii ina hatari hasa kwa kuweka wabunge ambao hata hawajakulia katika majimbo
  16. E

    JamiiForums Tanzania Wakuu wa mikoa taarifa zenu zitaje pia changamoto zilizopo

    Tangu juzi tumeona Ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikali ikiwaleta Wakuu wa Mikoa kueleza kilichofanyika katika mikoa yao katika kipindi cha miaka minne ya uongozi uliopo madarakani. Ni wazi kuwa katika kila mafanikio changamoto hazikosekani. Sasa mimi hupenda kufuatilia mawasilisho hayo, lakini...
  17. T

    JamiiForums Tanzania Raisi Samia: Wakuu wa mikoa mshirikiane na chama kipindi cha Uchaguzi

    Wana JF Haya ni maneno ya Raisi akiwaapisha viongozi leo : "Wakuu wa MIKOA, shirikianeni na chama kipindi hiki cha uchaguzi" Hii inaleta picha gani kipindi hiki cha uchaguzi .? Kuna maisha baada ya uchaguzi
  18. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Hivi kama huwa tunapenda Watu wawe Wakuu wa Mikoa wetu kwanini sasa kabla huwa tunawateua kuwa Mabalozi?

    Je, sisi Raia wa Oman tunajua hasa maana ya Balozi (Diplomat) na Mtu kuwa Balozi? au tunapoteua huwa tunakuwa tumeshakunywa Wines zetu za Canada na Ufaransa? Hongereni Watani zangu Washamba Waha kutoka Kigoma kwa Katibu Mkuu wa UN kuwaleteeni Balozi labda mtabadilika sasa na kuwa Wastaarabu...
  19. K

    JamiiForums Tanzania No travel list kwa viongozi wa usalama, polisi wakuu wa mikoa na familia zao inaandaliwa na EU & USA

    Tetesi: No travel list kwa viongozi wa usalama, polisi wakuu wa mikoa na familia zao inaandaliwa na EU & USA Hii ni kama ile ya Makonda
  20. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Wakuu wa Mikoa waache kujichonganisha na Wanamichezo kwa Unazi wao

    Huyu Mkuu wa Mkoa wa Tabora atapata wakati mgumu sana. Namwonya asijaribu kabisa kujiweka karibu na Simba
Back
Top Bottom