Kadri siku zinavyokwenda Tanzania, Mh. Magufuli anazidi kujipambanua kama kiongozi bora miongoni mwa viongozi wa Afrika.
Sababu zipo nyingi kuthibitisha ukweli wa hoja hii. Japo sababu hizi kwa kiasi kikubwa zinahitaji ufafanuzi wenye hazina kubwa ya mifano lukuki na kuntu. Lakini kwa leo...
Eid Mubarak wana Chadema wote na wana Lumumba na wananchi wengine wote kwa ujumla.
Nawatakia sikukuu yenye furaha bila kusahau kuchukua tahadhari dhidi ya Corona.
Siasa siyo Uadui
Maendeleo hayana vyama!
============
Assalama Alaikum
Ofisi ya Mufti wa Z'bar inatangaza rasmin kuwa leo...
Waziri wa mambo ya ndani wa Uingereza Priti Patel
Serikali nchini Uingeeza leo jioni inatarajia kutangaza kuwa abiria wote wa kimataifa ambao watatua kwenye viwanja vya ndege vya nchi hiyo watatakiwa kujiweka wenyewe karantini kwa gharama zao wenyewe.
Pia abiria hao watatakiwa kutoa taarifa...
Kiufupi tu.
Ndugu zangu huwa mnafanyaje mnapojua kimada wa pembeni kapata mimba/kajifungua na mtoto ni wako? Sitaki kuona damu yangu hii inateseka wakati uwezo wa kuihudumia ninao, tatizo huwa mnafanyaje ili mke asijue na huku mtoto akipata matunzo yote ya baba?
Hapa najua nimemkosea sana mke...
Spika Ndugai amewataka wabunge wafikirie kujenga nyumba jijini Dodoma badala ya kutegemea nyumba za kupanga.
Ndugai amesema hayo baada ya wabunge kudai TBA inawasumbua kuhusiana na mikataba yao ya upangaji na kuliomba bunge liwasaidie.
Spika Ndugai amewaambia wabunge wanapaswa kujenga nyumba...
Askofu Benson Kagonza, KKKT Dayosisi ya Karagwe
ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kulutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Benson Bagonza amesema, ibada zilizositishwa ili kujikinga na maambukizo ya ugonjwa unaotokana na virusi vya corona (COVID-19) zitarejea tarehe 31 Mei...
GTs,
Kuelekea 2020 sisi wapiga kura wa taifa huru la Tanzania tunawahimiza wapinzani mjitokeze mmoja baada ya mwingine mtuombe msamaha mambo yote mliyowahi kutudanganya. Moja ya vitu mlivyowahi kusema:
1. JK ni dhaifu?
2. Wizi wa 1.5 trioni?
3. Hela za Uswiss?
4.
Wagonjwa wote 187 walioambukizwa covid-19 katika kisiwa cha Faeroe kilichopo kaskazini mwa UK wamepona na hakuna aliyekufa. Faeroe ni nchi inayojitegemea sio sehemu ya UK.
Waziri mkuu wa Faero Bárður á Steig Nielsen awashukuru watu wake na kutaja siri ya ushindi huu:
1. Kufunga shughuli...
Tukumbushane wandugu.
Kumekuwa na matukio ya watu kujisahau na kujiona wao ni bora kuliko binadamu wengine. Kumbuka wewe ni udongo na mavumbini utarudi, wewe ulizaliwa na utakufa tu hata uwe na elimu au mali kiasi gani. Hebu tuache kubaguana na kujiona sisi ni zaidi ya wengine!
Nimeamua...
Wakuu amani iwe kwenu,
Rais Magufuli mara nyingi amesisitiza watu kuvaa barakoa ili kujilinda na kulinda wenzao dhidi ya kuenea kwa ugonjwa hatari wa corona. Rais amesisitiza sana hili na nilitegemea viongozi wa chini akiwemo Mkuu wa Mkoa DSM, Wakuu wa wilaya zote, Kamanda wa kanda maluum ya...
Wanabodi,
Kuna vitu mimi huwa navisema humu just as hypothetical situation na watu humu wanavichukulia poa hivyo kunibeza, na wengine hata kunitukana!, ila siku vikija kutokea kweli ndipo wenye uelewa wanaanza kuelewa nilikuwa nazungumzia nini na kuheshimiana.
Hivi ni baadhi ya vitu...
Habari za wakati huu wakuu.
Naomba kufahamu ni nani mkali wa machorus na colabo bongo kati ya hawa wasani wawili juma nature raia wa temeke na gnako chali ya chuga.
juma Nature
Juma Kassim Kiroboto 'Nature'. Tukumbuke chorus hizi
Ugali
Sonia
Msela
Ugali
Radhia
Sitaki Demu
Kisa Demu
Hatuna kitu...
Jumapili ya leo najaribu kuvirejea viapo mbalimbali nilivyowahi kuapa na ahadi mbalimbali nilizoahidi kuzitekeleza.
Miongoni mwa hizo ni ahadi nilizoahidi wakati napokea kadi yangu ya uanachama wa CCM kutoka kwa mwalimu JK Nyerere katika Uwanja wa Samora mjini Iringa.
Hizi ahadi zimekaa vizuri...
Hii ni foleni ya wanaonunua sukari Morogoro mjini ndani ya duka la mbunge wao.
Kinachonikera zaidi juzi waziri wa viwanda na biashara kapitishiwa bajeti mbovu sana huku wabunge wa CCM pamoja na spika wakijikita kuishambulia Chadema.
Aidha hawa ni wanunuzi wa jumla. Unapata Corona na sukari...
Wakati wa asubuhi, hakikisha kifungua kinywa kina range kati ya saa kumi na mbili mpaka saa mbili hapa ni kama hauna familia, au uko kazini. Kama una familia basi isivuke saa nne asubuhi.
Wakati wa mchana, hakikisha mlo wa mchana unakuwa kati ya saa sita mpaka saa saba mchana ulivuka hapa we...
Watanzania wenzangu it's high time tuache kusifia nakupongeza kila neno linalotoka ktk kinywa cha mfalme.
Ni bora mara Mia tukae kimya tusitoe pongezi tukitaka kuonekana watu tunampenda sana mkuu. Nataka niwaambie. Kama tunafikiri mfalme yupo sawa muulizeni why kajitenga?
Pili tafakurini wote...
Pope Francis ni mwanasayansi aliyesoma Chemical Technician huyu anasemekana kuwa ni miongoni mwa watu wenye akili nyingi zaidi Duniani
Angel Merkel huyu mama mjerumani ana degree ya Physics masters ya Physical Chemistry ni miongoni mwa viongozi wenye mvuto zaidi Duniani na ushawishi mkubwa sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.