johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,725
- 141,592
Vyombo vya ulinzi na usalama vikiwakilishwa na mkuu wa Majeshi General Mabeyo na wakuu wa mikoa wakiwakilishwa na RC Ndikilo wa Pwani wamekabidhi mchango wao wa ujenzi wa msikiti kwa shehe wa wilaya ya Chamwino shehe Matitu.
Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wamechangia jumla ya sh 30 milioni.
Wakuu wa mikoa wamechanga jumla ya sh 26 millioni na hadi sasa jumla ya michango imefikia sh milioni 142 tangu ilipoanza kuchangishwa.
Nalo Kanisa la AIC mkoani Simiyu limechangia ujenzi huo wa msikiti sh milioni 2 ambazo zimekabidhiwa kwa shehe Matitu na RC Mtaka kwa niaba ya muinjilisti wa Kanisa hilo.
Chanzo: Star tv habari!
Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wamechangia jumla ya sh 30 milioni.
Wakuu wa mikoa wamechanga jumla ya sh 26 millioni na hadi sasa jumla ya michango imefikia sh milioni 142 tangu ilipoanza kuchangishwa.
Nalo Kanisa la AIC mkoani Simiyu limechangia ujenzi huo wa msikiti sh milioni 2 ambazo zimekabidhiwa kwa shehe Matitu na RC Mtaka kwa niaba ya muinjilisti wa Kanisa hilo.
Chanzo: Star tv habari!