OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,185
- 103,690
Meya wa Ubungo, Boniface Jacob ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa ACT Wazalendo wamewawekea mapingamizi wagombea wa CHADEMA katika Halmashauri ya Ubungo akiwemo yeye.
Amedai pia, ACT haijawawekea mapingamizi CCM.
Huyu sio Membe kupitia ACT?