Uchaguzi 2020 Jimbo la Ubungo: ACT-Wazalendo yadaiwa kumuwekea pingamizi Meya Jacob na madiwani wote wa CHADEMA

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,185
103,690
49E3AE67-6D80-41AA-87CF-33CE5CD6A4D8.jpeg

Meya wa Ubungo, Boniface Jacob ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa ACT Wazalendo wamewawekea mapingamizi wagombea wa CHADEMA katika Halmashauri ya Ubungo akiwemo yeye.

Amedai pia, ACT haijawawekea mapingamizi CCM.

Huyu sio Membe kupitia ACT?
 
Kama hakuna ushirikiano mpaka sasa wa hivyo vyama viwili hao madiwani na Jacob wakajitetee tu, haki itendeke, naamini hata yeye Jacob na hao madiwani kama waliona kuna upungufu mahali kwa hao wagombea wa ACT wangeruhusiwa kuwawekea pingamizi pia.
 
Hahahahahahaha yeye akiwekea mapingamizi wengine hawakimbiliii mitandaoni lakini kawekewa yeye fasta anakimbilia mitandaoni kulia lia Chadema wameshaona mitandaoni kama ndo HQ yao si Ufipa tena

Chadema wanadanganywa na twakimu za kuwa
Wananchi wenye kuaccess Internet Tanzania ni milion 22.3 sawa na asilimia 41.4 ya wananchi wote sijui kama walishajiuliza Tanzania ni mambo gani au vitu gani vinafatiliwa au kugoogle sana kwenye Internet ?

Watanzania wengi wanaotumia internet hawafatilii siasa kwenye mitandao ni asilimia chache sana hata ukifanya utafiti utagundua ni Twitter na Jamii forum tu ndo wanafatilia siasa but sehemu au mitandao mingine nadhani unajua nn kinafatiliwa sasa jiulize Twitter na JF ni watanzania wangapi wana account au kuijua?

Tanzania bado main stream media(TV,Magazeti,Radio) bado zinanguvu sana na bado zinafatiliwa na watu wengi kwa sababu kupata taarifa huko ni free au cheap kulinganisha na mitandaoni sasa wanapogeuza mitandao kama ndo sehemu muhimu ya kuwapasha habari Watanzania wanatakiwa kujua nilazima uwe na bando kitu ambacho mtu wa mikoani hawezi kununua GB 4 eti kumuangalia Tundu Lissu akiutubia You tube au Chadema wanasema nini mitandaoni .
 
Back
Top Bottom