Watakaokubalika na vijana watashinda uchaguzi mkuu! Wazee wenye miaka 61 na kuendelea, ni asilimia 3 tu ya watanzania wote!

jmushi1

Platinum Member
Nov 2, 2007
24,989
22,521
Wanajamvi,

Kwa wale ambao wamefuatialia “Tanzania demographics”, watakubaliana na mimi. Lakini pia kama upo Tanzania utaelewa ninachosema.

Lakini kuna mabandiko mengi ambayo nilikwishazungumzia kuhusu “Tanzania Demographics”, haswa kwenye thread za kuhusiana na “COVID-19”. Ambapo niliweka taarifa hizo za mataifa yaliyomo kusini mwa jangwa la Sahara, ambapo wananchi wake ni vijana wadogo kuanzia miaka 15.

“Tanzania has a very low median age with more than 44.8% of the population under 15, 52% between 15 and 64 and just 3.1% over the age of 64.”

Tanzania Population 2020 (Demographics, Maps, Graphs)

Umri wa kati wa mtanzania, ama “medium age”, ni miaka 17.5 kwa wanaume na miaka 18 kwa wanawake. Ni muhimu kuhakikisha kwamba vijana wote wenye umri wa kupiga kura ambao ni miaka 18, wanafanya hivyo. Vijana wakipiga kura, watakuwa radhi zaidi kuzilinda.

Hili suala la “demographics”, pia litatuwezesha kufahamu ukweli kuhusu wananchi waliojiandikisha kupiga kura, mara ya mwisho niliona mamilioni mengi. Sasa hapo inabidi vyama viwe makini sana. Cha muhimu ni wapiga kura.
 
Ningeshauri pia wale vijana wakija kwenye mikutano, waulizwe wanyanyue “vichinjio” kama wanavyo.
 
Na vijana asilimia kubwa ni wapenda mabadiliko, hao wazee wameshazeeka na chama chao kilichotuletea uhuru, sasa hivi watanzania tunataka haki, usawa, na maendeleo.
Yani ndo maana mkuu anacheza singeli kuwavutia! Pia kuongea maneno ya kihuni, kwamba waendelee kufanya uzinifu, kwasababu wanawake wana matiti ya kuendelea kunyonyesha!😀🤷🏾‍♂️🤦🏾‍♂️
 
CCM ina wazee tupu, babangu 86 ni mwana CCM kufa, sasa kwenda kupiga kura peke yake hawezi... ashaanza kunibembeleza nimpeleke sasa ndiyo atajua siku hiyo kwamba mie ni mwanae ama lah... ha ha ha
 
Ningeshauri pia wale vijana wakija kwenye mikutano, waulizwe wanyanyue “vichinjio” kama wanavyo.
Kwani Kama vyeti vya taaluma iliwezekana ndio vichinjio vyenye maslahi mapana kwa wenye kuwa kwenye chart washindwe.
 
Yes upo sahihi kabisa atakayeweza kuwashawishi vijana atashinda.

Ila hapa mtaani kwetu ukishafika 45 wewe ni mzee na vijana under 30 watakuita baba.

Nikiongezea.

Siasa zimebadilika saana. Miaka nyuma kidogo ulikuwa hukatizi na vazi la CCM. Ila kwasasa unavaa na unasifiwa. CCM wameanza kurudisha imani kwa wananchi kwa rika zote tofauti na walipokuwa wamefikia -2015
 
Yes upo sahihi kabisa atakayeweza kuwashawishi vijana atashinda.

Ila hapa mtaani kwetu ukishafika 45 wewe ni mzee na vijana under 30 watakuita baba.

Nikiongezea.

Siasa zimebadilika saana. Miaka nyuma kidogo ulikuwa hukatizi na vazi la CCM. Ila kwasasa unavaa na unasifiwa. CCM wameanza kurudisha imani kwa wananchi kwa rika zote tofauti na walipokuwa wamefikia -2015
Kwa wazalendo was kileo lakini
 
Kwa wazalendo was kileo lakini
Iweke namna unavyoona lakini maana hapa tunatofautiana kutofautiana.

Kumbukumbu zinaniambia miaka ya 2010 ukipita Kariakoo na vazi la CCM unazomewa. Hata vijiweni ulikuwa ukijitaja mimi mwanachama wa CCM utachekwa saana.

Lakini sasa hayo hayapo...hata vijana CCM wapo na hawaoni aibu tena kujiita wanaCCM.

Tusiharibu mada ya mtoa uzi juu ya takwimu za wapiga kura.
 
Iweke namna unavyoona lakini maana hapa tunatofautiana kutofautiana.

Kumbukumbu zinaniambia miaka ya 2010 ukipita Kariakoo na vazi la CCM unazomewa. Hata vijiweni ulikuwa ukijitaja mimi mwanachama wa CCM utachekwa saana.

Lakini sasa hayo hayapo...hata vijana CCM wapo na hawaoni aibu tena kujiita wanaCCM.

Tusiharibu mada ya mtoa uzi juu ya takwimu za wapiga kura.
Leo Hali ikoje na he mazingira ya wakati huo no sawa na mazingira ya siasa za leo?
 
Ningeshauri pia wale vijana wakija kwenye mikutano, waulizwe wanyanyue “vichinjio” kama wanavyo.
Mlihamasishana msiende kuboresha taarifa zenu kwenye daftari la mpiga kura sasa hizo mtapigia makaratasi?
 
Wanajamvi,

Kwa wale ambao wamefuatialia “Tanzania demographics”, watakubaliana na mimi. Lakini pia kama upo Tanzania utaelewa ninachosema.

Lakini kuna mabandiko mengi ambayo nilikwishazungumzia kuhusu “Tanzania Demographics”, haswa kwenye thread za kuhusiana na “COVID-19”. Ambapo niliweka taarifa hizo za mataifa yaliyomo kusini mwa jangwa la Sahara, ambapo wananchi wake ni vijana wadogo kuanzia miaka 15.

“Tanzania has a very low median age with more than 44.8% of the population under 15, 52% between 15 and 64 and just 3.1% over the age of 64.”

Tanzania Population 2020 (Demographics, Maps, Graphs)

Umri wa kati wa mtanzania, ama “medium age”, ni miaka 17.5 kwa wanaume na miaka 18 kwa wanawake. Ni muhimu kuhakikisha kwamba vijana wote wenye umri wa kupiga kura ambao ni miaka 18, wanafanya hivyo. Vijana wakipiga kura, watakuwa radhi zaidi kuzilinda.

Hili suala la “demographics”, pia litatuwezesha kufahamu ukweli kuhusu wananchi waliojiandikisha kupiga kura, mara ya mwisho niliona mamilioni mengi. Sasa hapo inabidi vyama viwe makini sana. Cha muhimu ni wapiga kura.
Na watoto kati ya umri wa siku moja hadi miaka 18 ni asilimia ngapi?
 
Ukweli ni kwamba upinzani haukubaliki kwenye kundi lolote la watu kuzidi CCM, yaani kwa kifupi CCM inakubalika kwenye kila kundi mara 10 mpaka 20 zaidi ya upinzani na hakuna namna upinzani unaweza kushika dola kwa takwimu hizi

Ef8JfdcWoAMgAzb.jpg
 
Ukweli ni kwamba upinzani haukubaliki kwenye kundi lolote la watu kuzidi CCM, yaani kwa kifupi CCM inakubalika kwenye kila kundi mara 10 mpaka 20 zaidi ya upinzani na hakuna namna upinzani unaweza kushika dola kwa takwimu hizi

View attachment 1555754
Umezingatia Ile Sheria ya takwimu kwenye hii madam lakini,au mtego?
 
Umeanza kukurupuka? Una uhakika na takwimu zako? Na hao vijana waliosaidiwa kufanya biashara bila bugudha unadhani wataitupa Ccm na JPM?
Uhuru ni wa muhimu zaidi hizo biashara Mku. Gadafi aliyafanya mengi kwa Walibya ambayo kwake aliyaona ni mazuri lakini kumbuka hayo yote hayakuwa na maana kwao Mku
 
Ha
Na vijana asilimia kubwa ni wapenda mabadiliko, hao wazee wameshazeeka na chama chao kilichotuletea uhuru, sasa hivi watanzania tunataka haki, usawa, na maendeleo.
Haki sawa kaifate mbinguni,
Wewe mwrnzako analipwa milioni 10, na garo anapewa, wakati mwingine analipwa laki 4 na hana usafiri, sasa hapo kuna haki?
 
Back
Top Bottom