saidi kindole
JF-Expert Member
- Sep 21, 2012
- 310
- 792
Mwaka huu mwezi oktoba kutakuwa na uchaguzi mkuu katika nchi yetu, majira haya ni majira ya uchaguzi wa serikali kuu, kuchagua Rais, wabunge na madiwani-Askofu Shoo.
Wakati wa uchaguzi mkuu tujiepushe sana na “MABARADHULI” na wachochezi wenye nia ya kuleta magomvi, na FUJO, nimesikitishwa sana na VITENDO ambavyo vinafanywa na vijana WAHUNI wachache, sijajua nani anawaongoza kushambulia mikutano ya wanaotafuta WADHAMINI”- Askofu Shoo.
“Jambo hili (la kuvamia wanaopita kutafuta wadhamini) linafaa kukemewa kwa sababu huo ni mwanzo wa jambo la HATARI ambalo linaweza kuleta shida na kuvuruga amani”- Askofu Shoo.
“Mimi naweza kusema MTU muovu kupita wote ni yule anayeruhusu watu waovu kutawala, hii inafanyika kwa kuto kushiriki kikamilifu katika michakato yote sahihi ya kuwapata viongozi kama maneno yasemayo siasa ni mchezo MCHAFU”- Askofu Shoo.
Wakati wa uchaguzi mkuu tujiepushe sana na “MABARADHULI” na wachochezi wenye nia ya kuleta magomvi, na FUJO, nimesikitishwa sana na VITENDO ambavyo vinafanywa na vijana WAHUNI wachache, sijajua nani anawaongoza kushambulia mikutano ya wanaotafuta WADHAMINI”- Askofu Shoo.
“Jambo hili (la kuvamia wanaopita kutafuta wadhamini) linafaa kukemewa kwa sababu huo ni mwanzo wa jambo la HATARI ambalo linaweza kuleta shida na kuvuruga amani”- Askofu Shoo.
“Mimi naweza kusema MTU muovu kupita wote ni yule anayeruhusu watu waovu kutawala, hii inafanyika kwa kuto kushiriki kikamilifu katika michakato yote sahihi ya kuwapata viongozi kama maneno yasemayo siasa ni mchezo MCHAFU”- Askofu Shoo.