wote

  1. S

    JamiiForums Tanzania Askofu Shoo: Tujiepushe na mabaradhuli

    Mwaka huu mwezi oktoba kutakuwa na uchaguzi mkuu katika nchi yetu, majira haya ni majira ya uchaguzi wa serikali kuu, kuchagua Rais, wabunge na madiwani-Askofu Shoo. Wakati wa uchaguzi mkuu tujiepushe sana na “MABARADHULI” na wachochezi wenye nia ya kuleta magomvi, na FUJO, nimesikitishwa sana...
  2. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Polepole: CCM inawataka wagombea wote waliofeli kura za maoni kuwapigia kampeni washindi watakaokaidi kukosa teuzi!

    Katibu wa uenezi wa CCM ndugu Polepole amewataka wagombea waliofeli kwenye kura za maoni wawapigie kampeni walioshinda pindi kampeni zitakapofunguliwa. Polepole amesema CCM ni chama kikubwa tena ni taasisi ya Umma hivyo ina vyeo na fursa nyingi kwahiyo wale watakaokaidi kukampenia wenzao...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania GE2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

    Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kinakutana leo chini ya Mwenyekiti wake Rais Magufuli. Miongoni mwa agenda ni kupitisha majina ya wagombea wa nafasi za Ubunge na Uwakilishi. Mkutano utarushwa mubashara na Channel ten, TBC na ITV Up dates; Wajumbe wa halmashauri kuu tayari wameanza kuingia...
  4. Civilian Coin

    JamiiForums Tanzania Wimbo "DEAR MAMA" wa DON NALIMISON umetolewa maalum kwa ajili ya MAMA wote Duniani. Je, unampenda MAMA yako, watch now

    . New video "DEAR MAMA", watch my New 3rd video song for "DEAR MAMA" LIKE IT, SHARE IT, SUBSCRIBE IT & COMMENT FOR IT if you Love your Mama.
  5. Prof Koboko

    JamiiForums Tanzania GE2020 CHADEMA Kibamba Wote kwa umoja wenu nendeni msindikizeni Mgombea wenu kuchukua fomu

    Naamini CHADEMA Jimbo la kibamba mko wengi, nendeni kwa umoja wenu wote msindikizeni mgombea wenu akapewe fomu ya kugombea ubunge. Huyo mgombea ni wenu wananchi wanachama wa CHADEMA mliompemdekeza, chukueni Form yenu msilalie huu mchezo wa kihuni unaotaka kuchezwa. Inaonekana huyu mkurugenzi...
  6. Superbug

    JamiiForums Tanzania GE2020 Rais Magufuli na Tundu Lissu wote ni Wakatoliki wazuri. Je, Kanisa halioni umuhimu wa kuwapatanisha?

    Ni jambo lililo wazi kwamba hawa watu wawili wana mengi yanayofanana na kukinzana. Wote ni public figures na wanasiasa tofauti ni kwamba mmoja ni rais wa nchi na mwingine ni mwanasiasa anayependwa sana kwa sasa. Wote hawa ni Wakatoliki wazuri sana na wanaoijua imani yao vema. Kwasababu ambazo...
  7. Deejay nasmile

    JamiiForums Tanzania Hivi Kibongobongo ni msanii gani ni mbabe yaani 'Ngumi Jiwe' zaidi ya wote?

    Hivi tukiongelea ubabe, ununda, kiasi kwa akianzisha varangati hakuna msanii mwenzake atakayemuweza..yaani ukimchokoza tu anafunga mtaa. Huku mtaani kuna hawa jamaa wanatajwa sana Zola D Kalapina Nay wa Mitego Profesa Jay Chid Benz Dudu Baya bou nako p funky fido Vato lord eyes Wewe unahisi...
  8. lee Vladimir cleef

    JamiiForums Tanzania Enyi wana-CHADEMA na wapenda haki wote Tanzania tumieni simu zenu kama silaha

    Kwa wewe Mtanzania mpenda Haki popote ulipo Itumie hiyo simu yako Kama silaha. Natambua simu nyingi Zina kamera,tumieni kamera hizo wakati wote kurekodi tukio lolote lenye kunyima Haki,uonevu,dhuluma ama kitendo chochote chenye uvunjifu wa amani kipindi hiki Cha Uchaguzi Mkuu. Kuweni waangalifu...
  9. President of China

    JamiiForums Tanzania Kutoka uwanja wa Uhuru: Tamasha la CCM linalojumuisha wasanii Tanzania

    Nitakuwa nakupatia update. Wasanii wote Tanzania kwa moyo wa upendo walitunga nyimbo kuhusu serikali ya CCM. Wapo katika kufanya mazoezi ya nyimbo zitakazotumika kwenye kampeni ya chama kikubwa barani Afrika CCM.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Kwetu sote: "Asiyekubali kushindwa si mshindani"

    Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada. CCM, CDM, ACT,CUF, NCCR nk, mnaotupa karata zenu kuomba ridhaa kuongoza katika nyadhifa zozote zilizopo na sisi wapiga kura, uzi huu unatuhusu, sote kabisa. Kama ilivyo katika mashindano, hatima ya ushindi au kushindwa kwenye...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Mkuu mpya Mkoa wa Dar es Salaam ni mfano mzuri wa kuigwa kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya

    Nimefarijika sana pale nilipomsikia mkuu mpya wa mkoa wa Dar es Salaam alipokuwa anajitambulisha na kuongea na wazee wa mkoa. Huyu mteule anaonekana kutokana na maneno yake kuwa ni mtu wa busara na mwenye maono ya uongozi; amegundua kuwa wazee ni hazina kubwa kwa kiongozi yeyote yule kwani...
  12. Superbug

    JamiiForums Tanzania CCM bora ya muda wote kwangu ni ile iliyoongoza mapambano Kusini mwa Afrika na ile iliyomchapa Nduli, hizi CCM nyingine sijawahi kuzielewa

    Kwakweli linapokuja swala la CCM bora kwangu ni hiyo hapo juu. 1. Iliyoongoza mapambano dhidi ya makaburu kule nchi za Kusini. 2. Iliyoongoza mapambano ya kumchapa nduli Uganda. CCM hii iliweza kuunganisha watu ndani na nje ya nchi. CCM ya Sasa imegawa sana Watanzania kuliko kipindi chochote...
  13. alm

    JamiiForums Tanzania Hili ni jukumu letu sisi Watanzania wote kwa umoja wetu

    Bila kujali tofauti zetu za kisiasa, kidini, kijinsia nk ni jukumu letu sote kama Watanzania wapenda amani, umoja na mshikamano wa taifa letu kumwondoa Rais Magufuli mwaka huu kupitia sanduku la kura wakati wa uchaguzi mkuu unaofanyika mwezi Oktoba. Pamoja na mazuri machache sana aliyofanya...
  14. Chakaza

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya: Jeshi la Polisi liwe fair kwa watu wote bila kujali itikadi zao za kisiasa

    Kwa mara ya kwanza leo Masoud Kipanya ameanzisha mjadala wenye heshima kwa Radio Clouds. Ameanzisha mada ya kumuonya IGP Sirro baada ya magazeti kum-quote akionya wanasiasa kwa kauli ziwezavyo kuchafua amani. Wamemhoji mbona kuna mtu kila siku anajirekodi na kurusha habari za uchochezi akiwa...
  15. L

    JamiiForums Tanzania Kweli nimeamin Wanachama, mashabiki na wapenzi wa Timu ya Yanga linapokuja swala la Timu ya Yanga wote wanakuwa na akili sawa!!

    Bila kujali elimu zao, nafasi zao kama waziri', muhandisi, kamishna, mkurugenzi au mwandishi wa habari wote level yao ya uelewa inakuwa chini ya STD 7!! Imagine mwandishi eti anahoji mbona Morrison alikubali kwenye audio clip badala ya kuhoji Mkataba ni OG au Fake! Imagine mtu mwenye akili...
  16. Fantastic Beast

    JamiiForums Tanzania GE2020 Msipompitisha Lissu watampigia Membe, msipompitisha Membe watampigia Rungwe, msipowapitisha wote raia watasusia uchaguzi

    Tunawaambia ukweli kabisa, ili mnapofanya maamuzi yenu mkae mkijua raia wamechoka na hizo ndizo options walizonazo. Kimbilio la wengi kwa sasa ni Lissu. Ila kwa sababu kuna kila dalili ya kukatwa, basi option ya pili waliyonayo raia ni Membe. Mkimkata na yeye raia wanaona ni bora hata wampe...
  17. Mchezaji

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Lebanon yajiuzulu baada ya mlipuko wa Beirut. Waziri Mkuu asema ufisadi uliopo ni mkubwa kuliko taifa lenyewe

    Serikali ya Lebanon imejiuzulu takriban wiki moja baada ya kutokea mlipuko mkubwa mjini Beirut, huku Waziri Mkuu Hassan Diab akilaumu ufisadi kama chanzo cha ajali hiyo Katika hotuba yake, Diab amesema kilichotokea ni matokeo ya ufisadi ulio mkubwa kuliko taifa lenyewe na kwamba anaachia...
  18. Dam55

    JamiiForums Tanzania Bernard Membe: Nikiapishwa kuwa Rais wa Tanzania viongozi wote wa dini (mashekhe) watarudishwa Zanzibar

    Kauli hii ina maana gani kwamba ni ahadi ya Mh Membe kuwa atakaposhinda kiti cha Urais na kuapishwa basi siku inayo fuata viongozi wa dini watarudishwa Zanzibar. Hapa anamaanisha mashekhe wa uamsho ama ni viongozi wepi hao? Na je kurudishwa Zanzibar tu ama kuachiwa huru kabisa mbona ameweka...
  19. Influenza

    JamiiForums Tanzania Ijumaa ya Kwanza ya Agosti: Siku ya Kimataifa ya Bia. Kunywa Bia kufurahia wote wanaohusika katika utengenezaji wake

    Bia ni moja ya vinywaji vya zamani vinavyojulikana. Siku ya Bia Duniani inawapa wapenzi wa kinywaji hicho sababu moja zaidi ya kunywa kila Ijumaa ya kwanza ya mwezi Agosti Siku hii ilianza huko Santa Cruz, California, kusherehekea Wataalamu wa kusindika na kuthamini wale wote wanaohusika katika...
  20. matunduizi

    JamiiForums Tanzania GE2020 Sababu 11 kwanini Lissu atapata ushindi wa asilimia ndogo kuliko wote tangu 1995

    1: JPM anamengi yakuonekana aliyofanya kwa wananchi Lissu hata jimbo lake tu hakuna chochote cha kuonyesha. 2: Kila vita anayoingia JPM anapata ushindi au nusu ushindi (MAKINIKIA) wa kugusika, Lissu ni nusu ushindi au ushindi wa maneno. 3: Lissu amejipanga kutumia tuhuma kujinadi wakati JPM...
Back
Top Bottom