wote

  1. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Makampuni ya Tanzania ya usafirishaji yanakwama wapi, maana yanasababisha nchi inaingia kwenye migogoro na majirani wote

    Ni dhahiri kwenye hili la corona, Tanzania imeamua kutoendana na mataifa mengine duniani, yenyewe imeamua kupuuza hiki kirusi na kuendelea na maisha kama kawaida, bado wanasongamana kwenye vilabu vya pombe, kwa hili hakuna taifa lenye uhuru wa kuingilia maamuzi yao Watanzania maana wenyewe ni...
  2. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Songwe: RC Brg. Jen. Mwangela, ametoa mwezi moja kwa DC wote Mkoani humo kuhakikisha kila mfanyabiashara mdogo ana Kitambulisho

    Songwe: Mkuu wa mkoa wa Songwe, Mhe. Brg. Jen. Nicodemus Mwangela ametoa mwezi moja kwa wakuu wa Wilaya Mkoani humo kuhakikisha kila mfanyabiashara mdodo anakuwa na kitambulisho cha mjasiriamali mdogo. Mkuu Wa Mkoa Wa Songwe ametoa agizo hilo alipokuwa anawakabidhi wakuu wa wilaya na...
  3. kimbendengu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tetesi: Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza pia apatikana Corona

    Rais anayemaliza muda wake Nkurunzinza pamoja na mkewe wamepimwa na kukutwa na Virusi ya Corona ======= It is now emerging that Burundi’s President Pierre Nkurunzinza could after all have contracted Coronavirus (Covid-19). Sources in Bujumbura close to Presidency indicate that soon after the...
  4. The Assassin

    JamiiForums Tanzania Marehemu George Floyd na askari aliemsababishia kifo wote walikua walinzi kwenye night club moja

    Mmarekani mweusi alieuwawa na polisi mjini Minnesota wiki hii bwana George Floyd na askari Derek Chauvin anaetuhumiwa kumsababishia kifo baada ya kumuwekea goti shingoni wote walikua wanafanya kazi kwenye night club moja kama walinzi wa usalama au security guards. Derek amekua mlinzi wa club...
  5. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamani 'Happy Hedhi Day' kwa Wanawake wote Duniani

    Leo ikiwa ni Siku ya Kimataifa ya 'Hedhi kwa Wanawake' wote walio Hai Mimi naona nami hapa hapa nitoe Ushauri wangu Kwao... 1. Wawe wanazitupa vyema pale wanapomaliza Kuzitumia. 2. Wakiwa katika Vyoo vya Maofisini wahakikishe wawe wanazisukuma vizuri na Maji ili zisibakie. 3. Waache Kutumia...
  6. CUF Habari

    JamiiForums Tanzania Furaha na haki sawa kwa wote

    FURAHA NA HAKI SAWA KWA WOTE Waasisi wa The Civic United Front(CUF-Chama Cha Wananchi) walikutana katika Ukumbi wa Starlight Hotel, Mjini Dar es Salaam tarehe 20-21 Novemba 1992 walitoa Tamko ambalo ni Utangulizi wa Katiba ya Chama Chetu. Katika Tamko hilo walieleza kuwa:- "Sisi Watanzania...
  7. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Usaliti ni laana : CUF yakosa wagombea, Lipumba aanza kuokoteza mitaani, aomba wote wanataka kugombea wajitokeze

    Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa kutoka kwa Profesa Lipumba , aliponukuliwa akiongea kwa huruma kubwa na EA TV . Amewaomba wale wote wenye nia ya kugombea Urais , Ubunge ama udiwani wajitokeze kuomba ridhaa hiyo kupitia CUF , huku taarifa zikionyesha kwamba kuna uwezekano mkubwa kwa chama hicho...
  8. The Mongolian Savage

    JamiiForums Tanzania Nashangazwa sana Raia wote wa Hong Kong majina yao ya kwanza ni ya Kiingereza na Kiyahudi

    Mzuqa Yani wote majina yao ya mwanzo ni ya Kiingereza na Kiyahudi (Anglo-Hebrew). Uingereza kweli iliwainfluence hawa watu. Wareno nao hatari, japo Ufilipino Kireno siyo kwa sana lakini kwenye majina yao ni ya Kireno. Sasa hapo Angola dah yani karibu wote wanaongea Kireno na majina ya...
  9. Robidinyo

    JamiiForums Tanzania Show ya Diamond Platnumz (MTV Base )

    Kuhusu kulipia show =========== Jamaa kaona isiwe kesi, Kiki hakuna kaamua kujilipua kwa kununua Airtime ili Akiki siku mbili tatu ==================== Kuhusu performance ya kuwa nzuri ===================== ================== Kuhusu performance ya kuwa sio nzuri ================
  10. Mzukulu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini Wanaume wengi wanapenda kufanya Ngono ndani ya magari yao?

    Ni kwanini Wanaume wengi siku hizi wanapenda sana kufanya Ngono ndani ya Magari yao? Hii tabia siyo tu kwamba sasa imeshazoeleka bali kwa jinsi ambavyo ninakutana nayo sasa ni dhahiri kabisa kuwa imeshaota Mizizi.
  11. mheshimiwamtemi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadada wote inawahusu hii

    Leo nahitaji kuongea na wadada. Tunajua kuwa faragha yenye huba na mahaba ni uwanja maalumu kwa wawili waliopenda na kukubaliana. Faragha uhusisha hatua tatu kimsingi ili kila mmoja afaidi na kuridhika penzi la mwenzi wake 1. Kabla ya tendo: Hapa wawili wrote wanapaswa kushiriki kikamilifu na...
  12. Kimwerymdodo5

    JamiiForums Tanzania Eid Mubarrak to all members of JamiiForums

    Eid imeangukia Mokonda Day😁😁. Enewei, muwe na sikukuu njema wakuu.
  13. CUF Habari

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa CUF Prof. Lipumba Anawatakia Waislam Na Watanzania Wote Sikukuu Njema ya Eid El Fitr #ChukuaTafadhaliCoronaInazuilika

    Mwenyekiti wa CUF Prof. Lipumba Anawatakia Waislam Na Watanzania Wote Sikukuu Njema ya Eid El Fitr
  14. H

    JamiiForums Tanzania Kwanini Magufuli ni Rais bora kushinda Marais wote Afrika kwa sasa

    Kadri siku zinavyokwenda Tanzania, Mh. Magufuli anazidi kujipambanua kama kiongozi bora miongoni mwa viongozi wa Afrika. Sababu zipo nyingi kuthibitisha ukweli wa hoja hii. Japo sababu hizi kwa kiasi kikubwa zinahitaji ufafanuzi wenye hazina kubwa ya mifano lukuki na kuntu. Lakini kwa leo...
  15. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Salaam za Eid El-Fitr 2020

    Mwezi umeonekana Kashimil India sasa sijajua wale wa mwezi wa kimataifa kesho watakula idi au watawasubiria Saudi jumapili
  16. J

    JamiiForums Tanzania Waislamu kusherehekea Sikukuu ya Eid Kesho. Nawatakia Eid Mubarak Chadema wote

    Eid Mubarak wana Chadema wote na wana Lumumba na wananchi wengine wote kwa ujumla. Nawatakia sikukuu yenye furaha bila kusahau kuchukua tahadhari dhidi ya Corona. Siasa siyo Uadui Maendeleo hayana vyama! ============ Assalama Alaikum Ofisi ya Mufti wa Z'bar inatangaza rasmin kuwa leo...
  17. Richard

    JamiiForums Tanzania Uingereza nao wafuata Tanzania na nchi zingine abiria wote watakaotua UK kutakiwa kujiweka karantini kwa gharama zao wenyewe kwa siku 14

    Waziri wa mambo ya ndani wa Uingereza Priti Patel Serikali nchini Uingeeza leo jioni inatarajia kutangaza kuwa abiria wote wa kimataifa ambao watatua kwenye viwanja vya ndege vya nchi hiyo watatakiwa kujiweka wenyewe karantini kwa gharama zao wenyewe. Pia abiria hao watatakiwa kutoa taarifa...
  18. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemkosea sana mke wangu. Ushauri wenu tafadhali

    Kiufupi tu. Ndugu zangu huwa mnafanyaje mnapojua kimada wa pembeni kapata mimba/kajifungua na mtoto ni wako? Sitaki kuona damu yangu hii inateseka wakati uwezo wa kuihudumia ninao, tatizo huwa mnafanyaje ili mke asijue na huku mtoto akipata matunzo yote ya baba? Hapa najua nimemkosea sana mke...
  19. J

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai awataka wabunge wajenge nyumba Dodoma kwani hata wabunge wa Kenya wote wana nyumba Nairobi

    Spika Ndugai amewataka wabunge wafikirie kujenga nyumba jijini Dodoma badala ya kutegemea nyumba za kupanga. Ndugai amesema hayo baada ya wabunge kudai TBA inawasumbua kuhusiana na mikataba yao ya upangaji na kuliomba bunge liwasaidie. Spika Ndugai amewaambia wabunge wanapaswa kujenga nyumba...
  20. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza atangaza ibada kurejea kuanzia Mei 31, waumini wote watatakiwa kuvaa barakoa

    Askofu Benson Kagonza, KKKT Dayosisi ya Karagwe ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kulutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Benson Bagonza amesema, ibada zilizositishwa ili kujikinga na maambukizo ya ugonjwa unaotokana na virusi vya corona (COVID-19) zitarejea tarehe 31 Mei...
Back
Top Bottom