YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,911
- 51,889
Lissu na CHADEMA wamekuwa wanapinga wazi uwepo uwanja wa ndege Chato ambao ni Mji wa Geita.
Wanaona wana Geita hawastahili kuwa na uwanja wa ndege pamoja na kuchangia Kodi mabilioni ya pesa za kigeni kupitia migodi mikubwa ya dhahabu Kama Geita Gold Mine nk
Kwa kupinga Geita kuwa Wana Geita hawafai na hawastahili kuwa na uwanja wa ndege wala mbuga kwa sababu kwa Lissu wana Geita hawastahili kupata maendeleo ikiwemo uwanja wa ndege na mbuga nawaomba kwa umoja wenu mnyimeni Lisu kura na susieni mikutano yote y CHADEMA kuonyesha wazi kuchukizwa na Upinzani wao dhidi ya mkoa wa Geita.
Mkoa mzima shikamaneni kwa hili kampeni ifanyike nyumba kwa nyumba kwa mtu kueleza kuwa CHADEMA Ni chama pinzani cha wazi kisichotaka mkoa wa Geita uwe na maendeleo kwa kuutaja kwa jina kabisa. Hata mbuga iliyoanzisha ya wanyama Lissu na CHADEMA hawataki wanaipinga hawataki Geita iwe Mbuga.
Kwa hili wana Geita wote bila kujali chama au itikadi wakiwemo wana CHADEMA walioko Geita ikataeni CHADEMA kwenye sanduku la kura kwa sababu hata kama ni chama chenu lakini kinautenga mkoa wenu wa Geita usiwe na maendeleo kinawatakia mabaya msikipe kura sababu chama kinabidi kipende wanachama wake wote maeneo Yao wapate maendeleo.
Shime shime shime wana Geita asipewe kura Lissu wala CHADEMA
Wanaona wana Geita hawastahili kuwa na uwanja wa ndege pamoja na kuchangia Kodi mabilioni ya pesa za kigeni kupitia migodi mikubwa ya dhahabu Kama Geita Gold Mine nk
Kwa kupinga Geita kuwa Wana Geita hawafai na hawastahili kuwa na uwanja wa ndege wala mbuga kwa sababu kwa Lissu wana Geita hawastahili kupata maendeleo ikiwemo uwanja wa ndege na mbuga nawaomba kwa umoja wenu mnyimeni Lisu kura na susieni mikutano yote y CHADEMA kuonyesha wazi kuchukizwa na Upinzani wao dhidi ya mkoa wa Geita.
Mkoa mzima shikamaneni kwa hili kampeni ifanyike nyumba kwa nyumba kwa mtu kueleza kuwa CHADEMA Ni chama pinzani cha wazi kisichotaka mkoa wa Geita uwe na maendeleo kwa kuutaja kwa jina kabisa. Hata mbuga iliyoanzisha ya wanyama Lissu na CHADEMA hawataki wanaipinga hawataki Geita iwe Mbuga.
Kwa hili wana Geita wote bila kujali chama au itikadi wakiwemo wana CHADEMA walioko Geita ikataeni CHADEMA kwenye sanduku la kura kwa sababu hata kama ni chama chenu lakini kinautenga mkoa wenu wa Geita usiwe na maendeleo kinawatakia mabaya msikipe kura sababu chama kinabidi kipende wanachama wake wote maeneo Yao wapate maendeleo.
Shime shime shime wana Geita asipewe kura Lissu wala CHADEMA