Upinzani Tanzania hakuna, vyama vyote ni mamluki. Sikutegemea vyama hivyo kuingia uchaguzi bila tume huru ya uchaguzi kwa vituko vilivofanywa na dola uchaguzi wenyeviti wa mitaa.Mambo ni mazito kidogo.
Zitto kasema kuwa Pemba hakuna mgombea wa ACT aliyeachwa . Wote 18 wameliwa vichwa...
Mambo ni mazito kidogo..
Mimi hapa ndipo ninapo kasirika, tueleze vigezo vilivyotumika kuwaengua. Acha kutafuta huruma ki bwege mwami...Kisiwani Pemba, majimbo 18/18, Wanaenguliwa wagombea wa @ACTwazalendo systematically. Tutafuata hatua zote za kisheria kuzuiwa kinachofanywa. Halafu tutajua la kufanya. Mpaka sasa Tanzania nzima wameshaengua wagombea ubunge 44 wa ACT Wazalendo kwa sababu za kipuuzi sana
From zitto kabwe
Kwa faida ya watz! Kama hawakufuata sheria wanaenguliwa tu no way!CCM inalazimisha vita kwa faida ya nani ?
Hakuna bomu lolote fuateni sheria tu.Hili bomu wanalolitengeneza aisee balaa
Watasusa sisi twala!Wapemba watu wengine kama hamuwajui wapemba subirini nchi mwaipeleka kubaya