ushauri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mathsjery

    Ushauri wangu juu ya matumizi ya picha na icon fonts wakati kusanidi project zetu

    Kwa wale mnaoendelea kutumia picha kuwa kama icons inatosha sasa, kwa wale wanaotumia icon fonts mjitahidi kufanya ntakayoeleza!. Hakika inasumbumbua na italeta shida kwenye project yako, endapo utaendelea kutumia picha halisi kuwa kama icons, wengi hutumia picha kwa kuwa walikosa icons kadhaa...
  2. RUSTEM PASHA

    GE2020 Ushauri: Mgombea Urais kupitia CCM, zungumzia Tanzania ya Viwanda ulivyoifanikisha ili upate kura za kutosha

    Pombe Magufuli nakushauri usisahau kuwaeleza wananchi kuwa Tanzania ya viwanda kama umeifanikisha, maana 2015 ulipigiwa kura na watu wengi kwa namna ulivyonadi sera zako, hasa iliyonivutia mimi mpaka nikakupa kura ni Tanzania kuigeuza nchi ya viwanda. Sasa hivi sisikii ukinadi umeifanikisha...
  3. M

    GE2020 Ushauri kwa kampeni ya Urais ya CHADEMA

    USHAURI KWA KAMPENI YA URAISI YA CHADEMA NDUGU wanachadema wenzangu, Ni siku sita sasa zimeisha tangu kampeni ya uraisi ianze, Na kwa kweli niseme wazi kabisa CDM tumeanza vizuri sana katika kampeni hii, na tumepiga hatua kubwa sana, katika harakati hizi za kampeni, Pamoja na yyote naomba...
  4. M

    GE2020 Ushauri kwa ACT - Wazalendo juu ya kampeni za Uchaguzi

    Habari wenye chama chenu, naamini mnafuatilia mikutano ya Mgombea wenu wa Urais kama mimi nifanyavyo kwa wagombea wa vyama vitatu maarufu. Nilitamani kuongea na kiongozi wa Chama mara baada ya uzinduzi wa kampeni, bahati mbaya simu yake ilikuwa bize haikupokelewa. Niliyoyaona kwenye hotuba ya...
  5. M

    GE2020 Ushauri Tume ya Taifa ya Uchaguzi

    Lipo tatizo linalo ichafua Tume kwa kuwaengua baadhi ya wagombea na wengine kunyanganywa fomu zao wakati wa urejeshwaji, Hayo ni madhila waliyo kutana nayo wagombea wa upinzani pekee,na hili halijatokea kwa bahati mbaya ni makusudi na mipango ilisukwa kwa ustadhi mkubwa toka watendaji wa kata...
  6. N

    Nipo njia panda kuhusu kuendelea kuishi ghetto. Ushauri wenu unaitajika

    Habari zenu wadau, nilikuwa naomba ushauri kutoka kwenu wadau ni hivi ninapoishi kodi yangu inakaribia kuisha nataka kurudi nyumbani kwa mzee. Na sababu ya kutaka kurudi nyumbani na kuacha kupanga kwa sababu ya kutokuwa na kazi kwa sasa so hela ya kodi sina. Lakini girlfriend wangu amekataa...
  7. P

    Ushauri kwa Mbowe: Vunja kitengo cha mawasiliano cha CHADEMA, kisuke upya

    Wapendwa wakuu humu jamvini: Huu ni wakati wa Kampeni na Uchaguzi mkuu. Nguzo kubwa ya ushindi katika uchaguzi ni communication (mawasiliano). Kwa maana ya kwamba lazima wapiga kura wafikiwe kwa ujumbe na ilana ya chama kwa ufasaha na kwa haraka, na ujumbe huu urudiwe mara kwa mara kwenye media...
  8. MKATA KIU

    Ushauri kwa Yanga kipindi cha pili, mgeni wetu aruhusiwe kuongeza mchezaji wote tuwe 11 kwa 11

    Kadi nyekundu wamepewa kiulaini sana na imewaua na kuharibu ladha ya mpira Tunataka kuona ubora wa wachezaji wetu na timu yetu yanga Hatuwezi kuona ubora kwa usahihi kwa kucheza na timu pungufu Kama rafu hata sisi tumecheza nyingi ila refa hajatupa kadi Tumpe nafasi mgeni wetu.. mechi ni ya...
  9. O

    GE2020 Ushauri kwa waandaaji wa Kampeni za CHADEMA

    Siku 3 zilizopita chama cha CHADEMA kimefanya Uzinduzi wa Kampeni zake Mkoa wa Dar es Salaam, Katika hali isiyotarajiwa mwitikio wa watu umekuwa Mdogo kuliko Kawaida sana naweza kusema(Waliohudhuria ni chini ya 5000). Wafuasi na wapenzi wa Chadema walioko sehemu mbali mbali wanaweza kujitetea...
  10. Keynez

    Ushauri kwa Lissu: Kutana na makundi maalumu!

    Ni kawaida kwa kampeni za siasa za Marekani kwa mgombea kukutana na makundi maalumu ya watu, nadhani wanaita Town Hall meetings, na kuzungumzia mambo maalumu ya kisera. Halafu mgombea unatumia nafasi hiyo kutoa ‘major speech’. Uzuri wa mfumo huu unasaidia kufocus kwenye jambo moja, mfano elimu...
  11. Fundi mahiri wa Ujenzi

    Je, unataka kujenga? Kwa ushauri na huduma ya ufundi kutana na fundi mahiri wa ujenzi

    Kwa wote wanaohitaji ushauri juu ya ujenzi wa nyumba za: Makazi Biashara Sherehe na Ibada karibuni sana. Najenga kwa Bei rafiki kulingana na mazingira ya mtanzania. Pia natengeneza mfumo mpya wa majitaka ambapo mashimo hayajai milele. Bei ya chini Ni TSH 2.5m. Bei inaongezeka kutokana na...
  12. N

    GE2020 Honestly TBC wanatangaza wanakuja kuwafanyia coverage mlitarajia fairplay?

    Honestly TBC wanatangaza wanakuja kuwafanyia coverage mlitarajia fairplay? Yaani Lissu aelezee jinsi jamaa alivyoagiza apigwe risasi kwamba ni msaliti anawasiliana na Mwanyika ambaye naye ni mgombea ubunge huko CCM ingawa naye inasemekana ni kibaraka wa mabeberu? TBC wametumia picha za asubuhi...
  13. M

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Wakubwa nina mtaji wa shilingi milioni mbili na nataka nifanye biashara. Je, biashara gani ninaweza kufanya kulingana na pesa hiyo? Nimetafakari sana ila nakosa kujua kwa usahihi biashara gani inanifaa. =========== SIMILAR CASES: =========== May 18, 2012: May 10, 2014: May 16, 2014...
  14. Uwesutanzania

    USHAURI: kwa wasioamini maswala ya time travel

    Naomba niingie kwenye maada mojakwamoja, Ni baada ya kupitia mijadala kadhaa ya kitu kinachoitwa time travel nimeona watu wengi wakipingana na hii kitu, mimi binafsi bila ya lengo ya kujinufaida na faida yeyote ile napenda nikupe shuhuda na kukuomba pia uamini na ufanyie kazi kuwa hii kitu...
  15. Jiwon kim

    Naombeni ushauri kwa course hizi na vyuo

    Habari wakuu, Mim nimemaliza kidato cha 6 mwaka huu comb ya CBG, nimepata hivi: Chem D Bios E Geo D Nilikua nauliza: Je, naweza somea (IT na Environmental Science) pya msaaada course zingine mnazozijua wakuu na vyuo pya ambavyo naeza enda.
  16. Roving Journalist

    GE2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

    Mhe. Tundu Lissu Kunguruma leo kwenye ofisi za Uchaguzi Dodoma akirejesha Form ya Kugombea Urais wa Tanzania Updates ---- Tayari Mheshimiwa Tundu Lissu ambaye ni mgombea Urais na makamu wake Salum Mwalim wameshafika kwenye ofisi za tume ya Uchaguzi kwa urejeshaji wa Form UPDATE:-...
  17. Pascal Mayalla

    GE2020 Ili kuondoa kelele za kutotendewa haki, nawashauri CHADEMA na ACT wekeni Mawakala kila Kituo ili kujiridhisha, Uchaguzi Mkuu ni huru na wa haki

    Wanabodi Declaration of Interest Naomba kuanza na ku declare interest kuwa mimi ni Kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM ambaye ni muumini wa haki na demokrasia ya kweli ndani ya Bunge. Nautoa ushauri huu kwa dhati ya moyo wangu, licha ya ukada wangu kwa chama changu, CCM. Asiyekubali Kushindwa Sio...
  18. K

    GE2020 Ushauri kwa Tume ya Uchaguzi

    Kufuatana na Ratiba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi tarehe 25 Agosti, 2020 ni siku ya UTEUZI. Ushauri wangu ni wa bure kwenu. Hakikisheni Wasimamizi wa Uchaguzi ngazi ya Majimbo Tarehe 25 Agosti, 2020 wanakaa kwenye vituo vyao bila kukosa na isije ikajirudia mapungufu yaliyotokea katika uchaguzi...
  19. D

    Naomba ushauri kisheria juu ya kubadili majina

    Habari zenu ,nilikuwa naombeni ushauri juu ya kibadilisha jina la kwanza kwani jina hilo limetumika kwenye cheti cha kuzaliwa na nimesomea nalo shule ya msingi pamoja na sekondar japo kuwa matokeo ya kidato cha nne ayakuwa mazuri. Sasa naitaji niingie QT nisome tena hila naitaji kubadili jina...
  20. njumu za kosovo

    Mtoto wangu wa miezi saba ananyonya kupitiliza

    Habarini wakuu, niende moja kwa moja kwenye mada, mtoto wangu wa kiume mwenye umri wa miezi sita amekua akinyonya kupitiliza, yaani huwa anahakikisha ananyonya mpaka atapikie kwenye chuchu kabisa na ikitokea Je ni kawaida hii wakuu?
Back
Top Bottom