Uchaguzi 2020 Ushauri: TVs na Redio zitoe kwa usawa hotuba za mwisho za Wagombea Urais wote. Miaka yote kuanzia 1995 hadi 2015 ilifanyika hivyo

Kididimo

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
3,791
3,360
Ni maoni yangu kuelekea hitimisho la Kampeni leo 28/10/2020.

Lengo kuu ni ili Wananchi wawasikie kwa lugha moja katika kuhitimisha na kesho wafanye maamuzi sahihi.

Naamini leo hakuna pumba au chuya, ni mwendo wa "SERA".
 
Ndani ya hii miaka mitano mambo mengi mno yamebadilika - kibaya zaidi hata waandishi wa habari na wamiliki wa vyombo vya habari nao wameingia na uwoga.

Huwezi kujenga uchumi wa Taifa huru kama Raia ni waoga, Waandishi wa habari ni waoga, Watumishi wa umma ni waoga - Taifa la watu waoga.

Sidhani kuna kituo cha TV kitakachoonyesha Live mkutanowa Lissu !! hakipo kwa sasa.
 
Tulitaka Mdahalo ili kufafanua SERA ila kuna baadhi ya wagombea wakatoka NDUKI..
 
Bahati mbaya ni kuwa content manager ndio huwa hataki tusikie madini ya Slaa 2010 ama mchungaji mtikila
 
Upande wa Lissu, katika upande wake kuna tatizo kidogo kuonesha mikutano yake mubashara kutokana na kauli zake katika kampeni zake. Hakika endapo wangerusha kauli zake bw. Lissu(Best Loser) ningesema kweli vyombo vyetu vinakiuka sheria na weledi wao.

Mambo yanayofanya T. Lissu vyombo vya habari visitangaze habari zake ni:
1. Utoaji wa matusi na udhalilishaji wa vyombo vya kiusalama.(Ambalo ni kosa kisheria).

2. Kuhubiri chuki badala ya umoja katika nchi.

3. Kutoa taarifa za kuleta vurugu kabla na baada ya uchaguzi " Kuingia barabarani"

4. Kumtuhumu Mh. Magufuli kwa mambo ambayo ni unprovable hata mwenyewe anashindwa Kuthibitisha hizo tuhuma zake(Defamation).

5. Kuzungumza Maneno ambayo yapo nje ya maadili ya kitanzania, kama kuzungumzia ushoga n.k
 
Back
Top Bottom