Kwako serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.
Mimi ni kijana mzalendo, niliyepata mafunzo ya kijeshi nikafundishwa kupenda taifa letu, nikafundishwa kulinda upendo na amani ya nchi yetu.
Ninao uchungu mkubwa juu taifa langu. Nimekuwa nikikerwa sana juu ya ndugu zetu wengine ni viongozi...
Nina ndoa changa inayokaribia mwaka, nampenda sana mke wangu kiasi cha kutowaza kuachana ila tatizo ni suala la usafi wake ndio linalonikosesha amani na nimeshajitahidi kumrekebisha ila habadiliki.
Tangu nimemuoa yupo vizuri sana kwenye suala zima la usafi wa mazingira ya nyumba. Akiamka...
Ndugu wa heshimiwa wana usalama najuwa mpo katika mtihani mzito sana jinsi ya mapokez ya Lissu na kuepusha lawama kwa serikali juu ya huyu jamaa.
Mimi nataka kuwaambia Lissu anajuwa kile anakifanya naana akili sana haji kwa aman anakuja kwa shari ila nilazima kwa mara ya kwanza katika historia...
Kutokana na ukweli usiofichika ndani ya nchi ya Tanzania kwamba, Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni miongoni mwa Chama Kikubwa cha Siasa na pia ndio Chama kilichoshika madaraka mpaka sasa na ambacho kinatabiriwa kwa asilimia kubwa kuendelea kushika madaraka na kuunda Serikali kwa mara nyingine tena...
Kwanza kabisa naombeni mnikaribishe mimi kijana wenu kwenye jukwaa hili.
Mimi ni mgeni kabisa hapa JF
Naomba niwashirikishe mkasa wangu huu ili mnishauri jinsi gani ya kuninusuru.
Nina mpenzi wangu wa kike niliyedumu nae kwenye mahusino huu ni mwaka wa 7 (nilidumu nae tangu nikiwa kidato cha...
Salaam kwenu wakuu,
Mimi sijihusishi na siasa za Tanzania kidhati ya moyo, nimekuwa ni mfuatiliaji tu wa namna mambo yanavyokwenda/yanavyoendeshwa ndani ya nchi yetu. Niliwahi kuwa mwanachama wa CUF Habari mwanzoni mwa miaka ya 2010 na kadi yangu nilipewa na Julius Mtatiro, hata hivyo nilihamia...
Mshauri wa biashara, Mjasiriamali na Mkurugenzi wa Kampuni ya ushauri Wa biashara ya CPM Business consultants, anatoa Ushauri Wa biashara kwa Mkampuni, vikundi na watu binafsi kwa gharama nafuu ya sh. 20,000 tu. Pia ukitaka kupata huduma zetu tutakupa mafunzo ya ujasiriamali kwa mwaka mzima...
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana siasa za zitto na chama chake cha ACT tangia mwaka 2018.
Nimejiridhisha pasina shaka yoyote yakuwa, siasa za zzk siyo zile siasa alizokuwa akizifanya akiwa chadema na baada ya kuanzisha chama.
Zzk alipoanzisha chama cha ACT alipata wakati mgumu kupata...
Habari zenu ndugu zangu,
Mimi ni muhitimu wa chuo kikuu mwaka jana (2019) baada ya kukaa nyumbani kwa muda mrefu niliamua kuja kutafuta maisha hapa Dar, kwakweli niliteseka mno kwa muda zaidi ya miezi 8 nipo tu nakula na kulala kwa aunt, sina hili wala lile,, kiukweli nilikuwa naumia sana...
Zaidi ya wana CCM 40 wametia nia na kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kupeperusha bendera ya CCM kwenye uchaguzi wa Oktoba, 2020. Mmojawapo wa watia nia na aliyechukua fomu leo ni Ndugu Lameck Okambo Airo ambaye mwaka jana alielezea umma kuwa hatagombea tena katika uchaguzi unaokuja mwaka huu...
Wasalaam ndugu zangu.
Kijana mwenzenu nimejichanga nina kiasi kama cha mil. 16, nimefikiria nimeona ninunue Noah ili nifanye biashara ya kubeba abiria walau nami nijiajiri maana nimechoka purukushani za kuajiriwa.
Hivyo basi nilikua naomba mwongozo kuhusu maeneo ambayo biashara hii inafanya...
Habari za muda ndugu Wana jamvi,
Kama tunavozidi kushauriana kuhusiana na maswala mbalimbali ya kielimu kijana uyu anahitaji ushauri wa hali na mali ukizingatia ndo tunaelekea kwa kufunguliwa kwa dirisha la kuomba mikopo na vyuo vikuu kijana alihitimu kidato cha sita mwaka 2019/2020 katika...
Members natumaini hamjambo.
Kuhusu ushauri wangu taasisi hii kwa siku za karibuni ni kweli wanajitahidi kuboresha huduma zao, kama vile kuhamishia huduma zote mtandaoni na kadhalika.
Lakini kutokana na mapungufu yaliokuwepo, na mahitaji halisi ya wadau/wateja/wananchi kwa sasa bado sana...
Samahani sio mtalaam sana wa engine za magari, lakini nina Coaster boksi ilikua imepata hitlafu kidogo kwenye engine, wakati nafanya mchakato wa matengenezo kuna watu wanasema engine hizo ni za muda mrefu sana inabidi nitafute 1hz.
Lakini wakati huo huo kuna fundi ana nimabia hakuna engine...
Naomba mods msiuunganishe huu uzi!
Huu ni ushauri wangu kwa vyama vya upinzani! Mmesikia Membe amejitoa CCM, Huu ni mkakati wa chama Tawale kuhakikisha,
1. kwanza kupunguza kura zenu. Hii ni pale Act na Chadema wasipoungana
2. kuhakikisha CCM wanakuwa na taarifa zote za mipango na mikakati...
Naona mwamko umekuwa mdogo kwa watu kwenda kufunga line za ziada katika ofisi za mitandao, sio kwamba hatuwezi kwenda ila mambo yametinga jamani maana awamu hii ni kazi kazi kitu kinachonyima wengi muda wa kwenda hizo ofisi.
Ningependa kuwasilisha maoni yangu kwamba tunavyopiga *106# kuwe na...
Kambi ya upinzani ni nguzo muhimu sana kwenye bunge na kweny siasa za nchi kwa jumla. Sina uhakika kama CCM itaondolewa madarakani mwaka huu, ila ningependa kambi ya upinzani bungeni iimarike zaidi.
Sasa ili kuiimarisha ni muhimu wagombea wa upinzania wateuliwa kwa makini sana ili wawe ni watu...
Baada ya sheria ya mitandao nchini kuanza kazi, na makampuni ya simu kuweka no 106 kama njia ya kuhakiki namba uliyosajiri kwa mfumo wa finger print.
Basi nashauri hivi:
ingekuwa vyema makampuni pamoja na TCRA wangeweka option ya mtu kuikataa namba ambayo anataka iondolewe ili kukidhi takwa la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.