Ushauri wa Laptop nzuri kwa ajili ya graphics design

stivii

JF-Expert Member
Nov 5, 2013
222
143
Habari wana JF,

Naombeni ushauri nataka kununua laptop kwa ajili ya graphic designing.

Je, ninunue laptop ipi?

Naomba ushauri wa brand na aina. Mkifanya description kubwa mtanichanganya.

Mfano ukisema lenovo thinkpad T350, inakuwa rahisi kwa mimi kwenda madukani na kuitafuta.

Bajeti yangu ni million 1 na nahitaji mpya.

Nb: Mimi sio mtu wa IT so lugha za kitaalam zitanichanganya.

Cc Chief-Mkwawa Moe Szyslak leloic kcamp Mjomba Fujo troublemaker Freak ISO M.CodD na wengine
 
Mi natoa hints tu chache.

Kwa graphics designing huitaji mashine yenye specs za kutisha sana.

Graphics designers wakubwa wana invest pesa nyingi kwenye display, kwasababu unacho design kama kitahusu printouts lazima color zifanane, kwenye monitor unaweza kuona red inanga'aa unakuja kuprint color zina change.

Kwa hivo laptop tafuta 17" ips panel decent gpu and cpu itakufaa sio lazima i7 unaeza opt i5 newer generations.

Umesema hutaki details nyingi, bila details huwezi pata unachokitaka. Maana laptop zinakuja na configuration tofauti inaweza ikawa lenovo T350 ila zikaja configuration tofauti tofauti.
 
Habari wana JF,

Naombeni ushauri nataka kununua laptop kwa ajili ya graphic designing.

Je ninunue laptop ipi?

Naomba ushauri wa brand na aina. Mkifanya description kubwa mtanichanganya.

Mfano ukisema lenovo thinkpad T350, inakuwa rahisi kwa mimi kwenda madukani na kuitafuta.

Bajeti yangu ni million 1 na nahitaji mpya.

Nb: Mimi sio mtu wa IT so lugha za kitaalam zitanichanganya.

Cc Chief-Mkwawa Moe Szyslak leloic kcamp Mjomba Fujo troublemaker Freak ISO M.CodD na wengine
Tatizo la laptop mkuu unaweza ukatajiwa thinkpad fulani halafu ukaenda kushikishwa version ya celeron itakuwa hatujakusaidia chochote. Jifunze kuangalia specs, kuclick my computer na kwenda properties si kazi kabisa. Laptop aina moja inaweza kuja na configurations tofauti tofauti hata 16

Kama unafanya graphic design bila video editing na unataka laptop mpya nakushauri nunua i3 gen ya 10 ice lake.

Zipo i3 tatu
i3 1000G4
i3 1000G1
i3 1005G1.

Hizi kidogo zina graphics nzuri hasa hio inayoishiwa na G4.

Upatikanaji wake pia ni mrahisi.

Dell inspiron 14 3000 (3493) 10th Generation Intel(R) Core(TM) i3-1005G1 Dar Es Salaam

Dell Inspiron 3593 Core i3 10th Gen | Kariakoo | Jumia

Hizo inspiron naona zipo nyingi tu online maduka tofauti tofauti.

Unaweza nunua kwa hio 950k kisha change inayobakia upgrade ram kwenda 8gb.

Baadae tena badili hdd eka ssd.
 
Tatizo la laptop mkuu unaweza ukatajiwa thinkpad fulani halafu ukaenda kushikishwa version ya celeron itakuwa hatujakusaidia chochote. Jifunze kuangalia specs, kuclick my computer na kwenda properties si kazi kabisa. Laptop aina moja inaweza kuja na configurations tofauti tofauti hata 16

Kama unafanya graphic design bila video editing na unataka laptop mpya nakushauri nunua i3 gen ya 10 ice lake.

Zipo i3 tatu
i3 1000G4
i3 1000G1
i3 1005G1.

Hizi kidogo zina graphics nzuri hasa hio inayoishiwa na G4.

Upatikanaji wake pia ni mrahisi.

Dell inspiron 14 3000 (3493) 10th Generation Intel(R) Core(TM) i3-1005G1 Dar Es Salaam

Dell Inspiron 3593 Core i3 10th Gen | Kariakoo | Jumia

Hizo inspiron naona zipo nyingi tu online maduka tofauti tofauti.

Unaweza nunua kwa hio 950k kisha change inayobakia upgrade ram kwenda 8gb.

Baadae tena badili hdd eka ssd.
Ssd na hdd tofauti ipo wapi wakuu?
 
Ssd na hdd tofauti ipo wapi wakuu?
Ssd storage zipo faster. Kuanzia kufungua applications, ku washa laptop na ku transfer files. Ukiwa HDD na una applications nyingi kwenye laptop mara nyingi kuanzia unapoona logo ya windows mpk unafika desktop ni kma dkk 1 hadi 5 hvi mpka icon zote zitokee kwenye taskbar. Ila ukiwa na SSD ukiona windows logo mpk kufika kwenye desktop ni 10 seconds mpk 30 seconds ikizid sana dkk 1. Na hapo ukifika kwenye desktop tu unaweza tayari kufungua apps zako ukaendelea kazi bila kusubiri vitu vyote vi load.

SSD ni investment nzuri sana. Inaweza ikafanya laptop ya 3rd gen core i3 ku feel kama laptop ya 8th gen core i5 kwenye speed ya kuload vitu. Sikuhz siwezi tumia laptop isiyo na SSD
 
Ssd na hdd tofauti ipo wapi wakuu?
Kwenye usafirishaji data.

Ssd lowend kabisa zinaweza safirisha data kwa haraka zaidi ya mara 10 kulinganisha na HDD.

Hii husaidia programs kufunguka kwa haraka, windows kuwaka kwa haraka, computer kuwa smooth, na hata ukiperuzi online haikwami kwami.

Pia ssd haina mechanical parts, inatumia technology kama za kwenye flash ama memory card hivyo ikidondoka ngumu kuharibika compare na Hdd.
 
Mi natoa hints tu chache.

Kwa graphics designing huitaji mashine yenye specs za kutisha sana.

Graphics designers wakubwa wana invest pesa nyingi kwenye display, kwasababu unacho design kama kitahusu printouts lazima color zifanane, kwenye monitor unaweza kuona red inanga'aa unakuja kuprint color zina change.

Kwa hivo laptop tafuta 17" ips panel decent gpu and cpu itakufaa sio lazima i7 unaeza opt i5 newer generations.

Umesema hutaki details nyingi, bila details huwezi pata unachokitaka. Maana laptop zinakuja na configuration tofauti inaweza ikawa lenovo T350 ila zikaja configuration tofauti tofauti.
Nimekusoma mkuu unajua sisi watu ambao sio wazuri kwenye IT ukitaja specifics nyingi tunachanganyikiwa.
Mfano hapo umesema nitafute 17 ops panel decent sasa sielewi hiyo ni brand au ni kitu gani? Yani nikienda dukani nakuwa natafutaje hicho kitu
 
Tatizo la laptop mkuu unaweza ukatajiwa thinkpad fulani halafu ukaenda kushikishwa version ya celeron itakuwa hatujakusaidia chochote. Jifunze kuangalia specs, kuclick my computer na kwenda properties si kazi kabisa. Laptop aina moja inaweza kuja na configurations tofauti tofauti hata 16

Kama unafanya graphic design bila video editing na unataka laptop mpya nakushauri nunua i3 gen ya 10 ice lake.

Zipo i3 tatu
i3 1000G4
i3 1000G1
i3 1005G1.

Hizi kidogo zina graphics nzuri hasa hio inayoishiwa na G4.

Upatikanaji wake pia ni mrahisi.

Dell inspiron 14 3000 (3493) 10th Generation Intel(R) Core(TM) i3-1005G1 Dar Es Salaam

Dell Inspiron 3593 Core i3 10th Gen | Kariakoo | Jumia

Hizo inspiron naona zipo nyingi tu online maduka tofauti tofauti.

Unaweza nunua kwa hio 950k kisha change inayobakia upgrade ram kwenda 8gb.

Baadae tena badili hdd eka ssd.
Sawa Chief asante kwa ushauri, ila i3 si inakuwa na nafasi ndogo?

Ice lake ni brand au ni specification?
 
Sawa Chief asante kwa ushauri, ila i3 si inakuwa na nafasi ndogo?

Ice lake ni brand au ni specification?
I3 gen ya 10 ni bora kuliko i7 gen ya i7 upande wa cpu na gpu.

Ice lake inamaanisha generation ya 10 inayotumia manufacturing process ya 10nm na comet lake ni generation ya 10 inayotumia manufacturing process ya 14nm, hivyo ice lake ni bora zaidi.

Benchmark ya passmark i7 7500u
IMG_20201019_151651.jpg


Benchmark i3 1005G1
IMG_20201019_151810.jpg


Hivyo kwenye vyote multi thread na single thread perfomance hii i3 ipo vizuri zaidi. Kuliko i5/i7 zote gen ya 7 kushuka kwenye same category.
 
Siku ya kununua hakikisha upo na mtu ambaye ni developer ili upate hitaji lako.
Kila la kheri.
 
Tatizo la laptop mkuu unaweza ukatajiwa thinkpad fulani halafu ukaenda kushikishwa version ya celeron itakuwa hatujakusaidia chochote. Jifunze kuangalia specs, kuclick my computer na kwenda properties si kazi kabisa. Laptop aina moja inaweza kuja na configurations tofauti tofauti hata 16

Kama unafanya graphic design bila video editing na unataka laptop mpya nakushauri nunua i3 gen ya 10 ice lake.

Zipo i3 tatu
i3 1000G4
i3 1000G1
i3 1005G1.

Hizi kidogo zina graphics nzuri hasa hio inayoishiwa na G4.

Upatikanaji wake pia ni mrahisi.

Dell inspiron 14 3000 (3493) 10th Generation Intel(R) Core(TM) i3-1005G1 Dar Es Salaam

Dell Inspiron 3593 Core i3 10th Gen | Kariakoo | Jumia

Hizo inspiron naona zipo nyingi tu online maduka tofauti tofauti.

Unaweza nunua kwa hio 950k kisha change inayobakia upgrade ram kwenda 8gb.

Baadae tena badili hdd eka ssd.
Akipata Ram 16 ingekuwa sawa Sana shida iko kwenye hiyo processor. Ndogo
 
Ndugu yangu Nakupa ushauri WA bure tu Na ukiufata UtAkuja kunishukuru

Kwanza unaogopa kujifunza Na pili umezuia Watu kutiririka madini Mengi kuhofia kukuchanganya sasa IPO Hivi. Kama unataka kujifunza graphics designer tafuta ofisi ya mtu Anayefanya Hizo kazi Kisha omba kukaa ofisini kwake kwa lengo LA kujifunza Na Kumsaidia bila malipo yoyote ndani ya huo mwezi UKIWA Mjanja Utapata MAHITAJI yako Na unaweza kumtumia Mwalimu wako Huyo kwenda Naye dukani mkapata mashine nzuri sana

Kama unataka kupata mashine yoyote Basi wafate hao waliokushauri hapo JUU (Sina maana kwamba Ni mbaya no ni nzuri Sana) tatizo lipo kwako utaona unavyoenda kucheza ana anado dukani utajikuta Unachagua shepu nzuri kumbe ndani ni sifuri

Kama hutaki kukaa kwa mtu kujifunza tafuta mtu mkachague Naye kwa UTARATIBU vizuri
 
Back
Top Bottom