Ushauri jinsi ya kuishi maisha ya ghetto chuo

aad

Member
May 15, 2019
66
63
Wakuu poleni na hongera kwa shughuli za kutafuta riziki.

Naomba wale wote wenye experience ya maisha ya ghetto pindi wapo chuo, mnaweza nipa muongozo mdogo wenu ni kwa namna gani nitaweza hustle kiume.

Ikiwa ni pamoja na ushauri namna ya kupambana na shughuli nyingine nje ya masomo, maana nikimaliza chuo sina mpango wa kurudi home kuwa tegemezi kwa wazazi.

NB: Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu

Ahsanteni
 
Chalii angu...skia:

1. Mtegemee Mungu wako

2. Kuwa Disciplined jombaa - Elewa umesoma mwenyewe miaka 14 kufika hapo ko masomo yako hayategemei marafiki wala nini.

3. TAFUTA CONNECTION MZEE - Tengeneza marafiki as much as you can

4. Hela ya boom sio yako. Endea Club, nunulia TV na Woofer kisa CR Hamisi kanunua, ila elewa hio hela SIO YAKO.

5. Relax, Maisha ni Mazuri na Hii Dunia Si Yetu.

Kwa idea za biashara, naamini kuna Wakuu hapa watakupa ideas. Ukikosa, kuna uzi humu JF wa idea za biashara, fursa na mbishe kama hizo. pita nao.
 
Mkuu kwanza ili upate vitu bei rahisi inabidi utafute mtu anaemaliza unaongea nae bei ya kitanda na godoro kama anavitu vingine vizuri vya ndani basi chukua kwa bei ya maelewano yenu,5/6 kitanda ni 90 hadi 100 hiki ni kizuri kweli used godoro ni 100 hadi laki 120 kwa bei hii linakuwa zuri sana na ambalo halibonyei katikati.

vyombo na vitu vingine kama pasi, gesi, feni, mziki hivi vyote unaweza washusha wanaomaliza....mfano gesi wanauzaga 20 hadi 30,na pasi 20 pia.

Ishi kwa kujibana nakumbuka nilikuwa nakula 1000 siku nyingne 500 kwa siku nikasave hadi mil 3 lak 4 bila mkopo, hata ukiwa na hela usiifuje bila sababu.

Mishe ya kufanya inategemea na unasoma chuo gani na course gani, ila kuna mdada Dodoma chuo alikuwa anauza juice vidumu 3 hadi 4 hii alikuwa anaweka kwenye migahawa kama 2 hivi....pia kuna kuuza viatu vya kike na makava ya simu (kabla lecture haijaanza unatangaza pale mbele ya wengine), vilevile unaweza kuwa unaagiza mpunga Shinyanga au Mbeya (inategemea na umbali wa chuo chako) alafu unakoboa then unawatangazia wenzio na vioffer vizuri hauwezi kosa pesa.

Pia unaweza kununua nguo za mtumba magauni, sketi, brouse, suruari hizo kuna connection ya ilalaboma unaoata kea 2000 na elfu 1500 hadi za 500 zipo...ila suluari ni kuanzia 3000 hadi 5000 mara nyingi nzuri ni elfu4 na elfu 5...hizo nguo wanachuo wakike wanapenda pendeza kama ni quality nzuri utapata pesa tu....

Mishe zako zinaweza kuwa viziri endapo ukioata mwanamke anaejitambua, kuna wamaobahatika na wanatoboa mfano kuna mshkaji wangu alikuwa na girl wake wao walikuwa wanauza juice, dagaa, mchele alafu kuna wengine walifungua genge (zamzam kusimamia)
 
Mkuu kwanza ili upate vitu bei rahisi inabidi utafute mtu anaemaliza unaongea nae bei ya kitanda na godoro kama anavitu vingine vizuri vya ndani basi chukua kwa bei ya maelewano yenu......5/6 kitanda ni 90 hadi 100 hiki ni kizuri kweli used godoro ni 100 hadi laki 120 kwa bei hii linakuwa zuri sana na ambalo halibonyei katikati...
Mkuu. Sh.500 kwa siku!!!!!!! seriously!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chalii angu...skia:

1. Mtegemee Mungu wako

2. Kuwa Disciplined jombaa - Elewa umesoma mwenyewe miaka 14 kufika hapo ko masomo yako hayategemei marafiki wala nini.

3. TAFUTA CONNECTION MZEE - Tengeneza marafiki as much as you can

4. Hela ya boom sio yako. Endea Club, nunulia TV na Woofer kisa CR Hamisi kanunua, ila elewa hio hela SIO YAKO.

5. Relax...Maisha ni Mazuri na Hii Dunia Si Yetu.

Kwa idea za biashara, naamini kuna Wakuu hapa watakupa ideas. Ukikosa, kuna uzi humu JF wa idea za biashara, fursa na mbishe kama hizo. pita nao.
Ahsante mkuu kwa nondo zako
 
Mkuu kwanza ili upate vitu bei rahisi inabidi utafute mtu anaemaliza unaongea nae bei ya kitanda na godoro kama anavitu vingine vizuri vya ndani basi chukua kwa bei ya maelewano yenu......5/6 kitanda ni 90 hadi 100 hiki ni kizuri kweli used godoro ni 100 hadi laki 120 kwa bei hii linakuwa zuri sana na ambalo halibonyei katikati.....

vyombo na vitu vingine kama pasi,gesi,feni,mziki hivi vyote unaweza washusha wanaomaliza....mfano gesi wanauzaga 20 hadi 30,na pasi 20 pia....

ishi kwa kujibana nakumbuka nilikuwa nakula 1000 siku nyngne 500 kwasiku nikasave hadi mil 3 lak 4 bila mkopo......hata ukiwa na hela usiifuje bila sababu...

Mishe ya kufanya inategemea na unasoma chuo gani na course ganj, ila kuna mdada dodoma chuo alikuwa anauza juice vidumu 3 hadi 4 hii alikuwa anaweka kwenye migahawa kama 2 hivi....pia kuna kuuza viatu vya kike na makava ya simu (kabla lecture haijaanza unatangaza pale mbele ya wengine), vilevile unaweza kuwa unaagiza mpunga shinyanga au mbeya (inategemea na umbali wa chuo chako) alafu unakoboa then unawatangazia wenzio na vioffer vizuri hauwezi kosa pesa.....

Pia unaweza kununua nguo za mtumba magauni,sketi,brouse,suluari hizo kuna connection ya ilalaboma unaoata kea 2000 na elfu 1500 hadi za 500 zipo...ila suluari ni kuanzia 3000 hadi 5000 mara nyingi nzuri ni elfu4 na elfu 5...hizo nguo wanachuo wakike wanapenda pendeza kama ni quality nzuri utapata pesa tu....

Mishe zako zinaweza kuwa viziri endapo ukioata mwanamke anaejitambua, kuna wamaobahatika na wanatoboa mfano kuna mshkaji wangu alikuwa na girl wake wao walikuwa wanauza juice, dagaa, mchele alafu kuna wengine walifungua genge (zamzam kusimamia)
Ahsante mkuu kwa ushauri
 
Ghetto la kutombea watoto wa watu wenye. Nyege. Mshindoo dahhh. Unatomba mpaka. Unahisi **** ya moto kumbe mtoto mwenyewe maji motooo. Age za 18-20 dah nmetomba sana hawa girlssss. Ila. All in all. Tumia akili kwani nyumban kwenu ni mambo gani ya muhimu ?????
Duuh, mkuu hongera

By the way, mimi nataka nikimaliza chuo nisirudi home kuanza kugombania ugali na wadogo zangu

Maana mimi ndio wa kwanza wa kiume nyumbani kwetu

Hata nyumbani napo mambo sio mazuri, hapa nazungumzia kiuchumi

Hivyo sitaki nimalize chuo alafu niwe tegemezi home
 
Mkuu kwanza ili upate vitu bei rahisi inabidi utafute mtu anaemaliza unaongea nae bei ya kitanda na godoro kama anavitu vingine vizuri vya ndani basi chukua kwa bei ya maelewano yenu......5/6 kitanda ni 90 hadi 100 hiki ni kizuri kweli used godoro ni 100 hadi laki 120 kwa bei hii linakuwa zuri sana na ambalo halibonyei katikati.....

vyombo na vitu vingine kama pasi,gesi,feni,mziki hivi vyote unaweza washusha wanaomaliza....mfano gesi wanauzaga 20 hadi 30,na pasi 20 pia....

ishi kwa kujibana nakumbuka nilikuwa nakula 1000 siku nyngne 500 kwasiku nikasave hadi mil 3 lak 4 bila mkopo......hata ukiwa na hela usiifuje bila sababu...

Mishe ya kufanya inategemea na unasoma chuo gani na course ganj, ila kuna mdada dodoma chuo alikuwa anauza juice vidumu 3 hadi 4 hii alikuwa anaweka kwenye migahawa kama 2 hivi....pia kuna kuuza viatu vya kike na makava ya simu (kabla lecture haijaanza unatangaza pale mbele ya wengine), vilevile unaweza kuwa unaagiza mpunga shinyanga au mbeya (inategemea na umbali wa chuo chako) alafu unakoboa then unawatangazia wenzio na vioffer vizuri hauwezi kosa pesa.....

Pia unaweza kununua nguo za mtumba magauni,sketi,brouse,suluari hizo kuna connection ya ilalaboma unaoata kea 2000 na elfu 1500 hadi za 500 zipo...ila suluari ni kuanzia 3000 hadi 5000 mara nyingi nzuri ni elfu4 na elfu 5...hizo nguo wanachuo wakike wanapenda pendeza kama ni quality nzuri utapata pesa tu....

Mishe zako zinaweza kuwa viziri endapo ukioata mwanamke anaejitambua, kuna wamaobahatika na wanatoboa mfano kuna mshkaji wangu alikuwa na girl wake wao walikuwa wanauza juice, dagaa, mchele alafu kuna wengine walifungua genge (zamzam kusimamia)
Mkuu nami nilikuwa naibia kidogo lectures zako hapo.
Ila tuje kwenye hili jambo la kwanza, umezungumzia kununua vitu kutoka kwa graduated, sasa nikicheck huu mda hao graduated washaondoka tayar na kama mauzo basi washafanya zamani now wako makwao.

Also, about issues za ujasiriamali naona panaweza kuwa na shida kidogo kutokana na kozi husika anayochukuwa mtu, nadhan mwenyewe unajua kuna baadhi ya kozi ziko heavy kinoma na very complicated so kwa kozi kama hizo sometimes muhusika anaweza kujikuta anakuwa na poor performance even kudisco Ila nikiri wazi kuwa enterprise ni muhimu sana kwa kujiongezea kipato lna hata kupata more experience about business/Enterprise pindi mtu anaporudi mtaani.
 
Mkuu nami nilikuwa naibia kidogo lectures zako hapo.
Ila tuje kwenye hili jambo la kwanza, umezungumzia kununua vitu kutoka kwa graduated, sasa nikicheck huu mda hao graduated washaondoka tayar na kama mauzo basi washafanya zamani now wako makwao.

Also, about issues za ujasiriamali naona panaweza kuwa na shida kidogo kutokana na kozi husika anayochukuwa mtu, nadhan mwenyewe unajua kuna baadhi ya kozi ziko heavy kinoma na very complicated so kwa kozi kama hizo sometimes muhusika anaweza kujikuta anakuwa na poor performance even kudisco Ila nikiri wazi kuwa enterprise ni muhimu sana kwa kujiongezea kipato lna hata kupata more experience about business/Enterprise pindi mtu anaporudi mtaani.
mkuu nashukuru kwa kupita hapa....ila kuna graduate wameacha vitu vyao chuo wengine wamewaachia jamaa zao wawauzie so kuna uwezekano wa kupata....kuna group la chuo la biashara nipo naona watu wa mwaka huu wanauza vitu vyao bado

Pia kwa issue ya ujasiliamari anaweza akawa anatengeneza juice vidumu 3 asubuh anapitisha kwenye mgahawa fulani anaenda zake chuo, jioni anaenpa pitia pesa ....hii inategemea na makubaliano na mwenye mgahawa oia upatikanaji wa matunda.....
 
Mkuu nami nilikuwa naibia kidogo lectures zako hapo.
Ila tuje kwenye hili jambo la kwanza, umezungumzia kununua vitu kutoka kwa graduated, sasa nikicheck huu mda hao graduated washaondoka tayar na kama mauzo basi washafanya zamani now wako makwao.

Also, about issues za ujasiriamali naona panaweza kuwa na shida kidogo kutokana na kozi husika anayochukuwa mtu, nadhan mwenyewe unajua kuna baadhi ya kozi ziko heavy kinoma na very complicated so kwa kozi kama hizo sometimes muhusika anaweza kujikuta anakuwa na poor performance even kudisco Ila nikiri wazi kuwa enterprise ni muhimu sana kwa kujiongezea kipato lna hata kupata more experience about business/Enterprise pindi mtu anaporudi mtaani.
Nimekusoma mkuu
 
mkuu nashukuru kwa kupita hapa....ila kuna graduate wameacha vitu vyao chuo wengine wamewaachia jamaa zao wawauzie so kuna uwezekano wa kupata....kuna group la chuo la biashara nipo naona watu wa mwaka huu wanauza vitu vyao bado

Pia kwa issue ya ujasiliamari anaweza akawa anatengeneza juice vidumu 3 asubuh anapitisha kwenye mgahawa fulani anaenda zake chuo, jioni anaenpa pitia pesa ....hii inategemea na makubaliano na mwenye mgahawa oia upatikanaji wa matunda.....
Sawa mkuu hapo Nimekusoma
 
Back
Top Bottom