Sawa mkuu nashukuru sana kwa respond yakoTAXATION muajiri mkubwa ni TRA (Idara ya kodi - Serikali). Unaweza ukaajiriwa na taasisi kubwa binafsi (chache sana) kwa ajili ya maswala ya kodi.
PROCUREMENT ni Ugavi ( Storage + logistik) - Muajiri mkubwa ni serikali, hususan halmashauri.
Kimsingi kozi zote hizo mbili ni finyu hasa katika upande wa ajira. Mfano mdogo kama halmashauri wanahitajika wahasibu (acountant) 8, basi sehemu hiyo itahitaji watu wa procurement 2 mpaka 3. Mhasibu anaweza kufanya kazi ya mtu wa TAXATION.
Kama umepata zote ningekushauri kuchukua TAXATION. Vinginevyo ni mapenzi yako mwenyewe tu, kwani hazitofautiani sana kivile katika ajira.
Ajira taxation zinaweza kuwa finyu ila siku ukipenya pale tra utasahau matatizo yako yote!Habari wadau,
Ningependa kufahamu mtu anayesoma kozi TAXATION anaweza kufanya kazi sehemu zipi?
Na kati ya kozi ya TAXATION na PROCUREMENT ni ikozi ipi yenye soko zaidi
Hakuna kazi rahisi.Kodi sikushauri bora procurement....nilisoma Tax nina ajira ila changamoto zake ni ngumu mno maana hata huko Tra Mhasibu anafanya kazi za mtu wa kodi
Ubarikiwe Sana mkuruSawa mkuu nashukuru sana kwa respond yako
Procurement yenye kikolezo kipi ni nzuri zaidi?mkuuWANAFUNZI WATARAJIWA...someni kimkakati.
Kozi ya kodi ni ya ubobevu wa awali. Early specialization. Maana kodi inasomwa kwenye kozi nyingi kama somo. Uhasibu una kodi ya kutosha..nk.
Angalieni course content.
Procurement nayo ni nzuri ila kile kikolezo ndo cha kuangalia... procument and.... logistics? Supply? Supply chain management? Nk.
Narudia someni course content kwa makini.
ResponseSawa mkuu nashukuru sana kwa respond yako