Habariiii
Ndugu wananchi ninaomba kushauri mambo yafuatayo kwa serikali kuanzia 2020-2025.
1.Iajiri maafsa wa kukusanya mapato wengi mpaka ngazi ya kata,kijiji na mtaa.Kazi yao kubwa itakuwa kukusanya mapato kwa ufanisi kulingana na sheria na kanuni zinavyosema.H
Faida zake
Faida zake
Ndugu wananchi ninaomba kushauri mambo yafuatayo kwa serikali kuanzia 2020-2025.
1.Iajiri maafsa wa kukusanya mapato wengi mpaka ngazi ya kata,kijiji na mtaa.Kazi yao kubwa itakuwa kukusanya mapato kwa ufanisi kulingana na sheria na kanuni zinavyosema.H
Faida zake
- Ufanisi katika ukusanyaji wa mapato,kwani mapato mengi yanapotea na mengine hayakusanywi kabsa kwani maafsa wa ukusanyaji mapato kuna baadhi ya maeneo hawayafikii kwasababu ya uchache wao hasa vijijini na hata mijini pia.
- Itaongeza idadi ya ajira kwani wasomi wengi wataajiriwa kama ma afsa wa TRA
Faida zake
- Itaongeza wigo wa ajira especially kwa watu waliosomea elimu ya biashara kwani wengi wataajiriwa kama ma afsa biashara.
- Itaongeza ufanisi katika biashara kwani watu wengi watakuwa na elimu ya biashara hivyo itakuwa ngumu biashara nyingi kuanguka.
- Itaongeza ubunifu katika biashara.