pesa

  1. mr mkiki

    Wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu Arusha waandamana baada ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) kukata pesa zao za kujikimu

    Wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu- Arusha wakiandamana usiku huu kuishinikiza Bodi ya Mikopo Nchini HESLB kurejesha kiwango kilichosalia cha 510,000/= kwa mwaka huu wa masomo 2019/2020.
  2. Robert Heriel Mtibeli

    Usitafute pesa; ifanye Pesa ikutafute yenyewe

    USITAFUTE PESA, IFANYE PESA IKUTAFUTE YENYEWE Na, Robert Heriel Ndoto ya watu wengi ni kupata pesa zitakazowafanya waishi maisha mazuri. Ndio maana watu wanahangaika usiku na mchana kutafuta pesa, watu wanahangaika mijini na vijijini kutafuta pesa, majini na nchi kavu, mashimoni na angani...
  3. T

    Kama mtumishi wa umma simpigii kura Magufuli kwa kutoboresha maslahi yangu, wewe kwanini hutamchagua?

    Inawahusu wasiomchagua JPM tu. Mimi Kama mtumishi wa umma hajaongeza mshahara wangu kwa miaka yote 5, ananikata 15% badala ya 8% kama mkataba wangu na Loan Board unavyosema. Kwa sababu hizo kura yangu hapati. Wewe serikali yake katika sekta yako kwa nini hapati kura yako?
  4. YEHODAYA

    Mteja wa Vodacom sasa anaweza kupokea pesa kutoka nchi za nje akitumiwa kwa njia ya World Remit, Money Gram na Juba express

    Kilio cha wadau cha kutaka kurahishwe njia za kupokea pesa zimeanza kusikilizwa Sasa hivi Mteja wa vodacom mwenye Mpesa Sasa waweza pokea pesa toka nchi za nje kwenye simu yako ukitumiwa kwa njia ya World Remit,Money Gram na Juba express. Kama una mtu nje na una namba ya vodacom yenye Mpesa...
  5. T

    Mara, Kigoma, Tabora, Kagera wagombe CCM ni PhD, mikoa ya pwani Morogoro, Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga ni kujua kusoma, kuandika na pesa

    Halafu mtu analalamika kuwa JPM anapendelea wabunge wa mikoa ya bara katika kuunda Baraza la Mawaziri. Tunapoingia uchumi wa kati ndugu zangu changueni wabunge wasomi. Hawa ndio wenye sifa ya kumsaidia mhe. JPM. Achaneni kumchagua mtu kwa vigezo vya pesa, mnasikia ndugu zangu hasa wa mikoa ya...
  6. King Loto

    Bongo ya sasa inakwenda kasi sana. Huna pesa na huna penzi

    Wakuu wa jamvi hali ni gani uko kwenu kitaa. Yaani hawa kina hawa wanatanguliza pesa mbele kama tai. Kama huna pesa utaishia kula wale wa short time kule Sinza na Manzese wa buku 3 na buku mbili mbili buku ya mlinzi 😂😂😂😂 wewe hujiulizi kwani nini wanaume tukiwa na kojo tunakimbilia hawa wa...
  7. Chizi Maarifa

    Vyama vya upinzani, unafiki na tamaa ya pesa

    Mwaka 2020 asilimia 95 ya wapinzani hasa wa Chadema na ACT wanajua kuwa hawatapata nafasi za Ubunge na Udiwani. WANAJUA KABISA HILI PASINA SHAKA. Ni hawa hawa wapinzani wanaosema kuwa TUME YA UCHAGUZI SI HURU. Sasa swali linakuja wanaenda shiriki uchaguzi wakitegemea nini? Kuwa utatokea muujiza...
  8. Wakusoma 12

    Baada ya kampuni ya michezo ya kubahatisha ya Betika kunipatia pesa zangu nilizokuwa nikilalamikia kutopewa, sasa kwa hiari yangu ninafuta malalamiko

    Wakuu heshima kwenu, ni dhahiri sasa kampuni ya michezo ya kubahatisha betika ilikuwa na tatizo LA kiufundi na wala si matapeli kama nilivyokuwa nikiwafikiria. Hii ni baada ya kufanikiwa kutoa kiasi kikubwa cha pesa nilichoshinda baada ya kutabiri kwa ufasaha matokeo ya michezo ya Mpira wa...
  9. B

    Anahitajika mtaalam mwenye uwezo wa kututafutia pesa kwa ajili ya NGO

    Tumeanzisha NGO ila tuna changamoto ya kupata fedha kutoka kwa wafadhili, tunahitaji mwenye upeo na uwezo wa kujua wapi na namna ya kupata fedha kwa ajili ya miradi yetu ya maendeleo, NGO yetu ina malengo ya kujengea watu uwezo wa ujasiriamali, kilimo, mambo ya viwanda; inajenga miundo mbinu...
  10. FrankLutazamba

    Kila mwenye shahada asiye na ajira aendelee kulipwa pesa ya kujikimu(boom) Tsh. 5,000 akiwa anasaka ajira

    Mh. Rais Dr. Magufuli tunakuomba kila mwenye shahada(degree)aendelee kulipwa hata baada ya kuhitimu shahada, mfano tukiwa milioni moja ukizidisha mara elfu tano ni kama milioni mia tano tu kwa mwezi na hapo wengi umeshawaajili hivyo tunakuwa kama laki tano tu ambao ni sawa na milioni mia mbili...
  11. Liverpool_Jr

    Pesa bana ukiwa nazo your the King

    Billionea Laizer kaingia sabasaba akapokewa na KATIBU WA WIZARA. Kilichonishanga ni kwamba Watumishi wa wizara kuvaa mashuka ya kimasai. Unadhani wamevaa kwasababu yake NOOO KUBWA SANAA. Wamevaa kwasababu mshua ana Bill 7.8 mfukoni..!! Kila anakopita ni Laizaa laizaaa. Hela bana, ukiwa Nazo...
  12. SumadaVinci

    Hii ni kwa wenye pesa tu

    DEPRESSION is for people who have money.not you ,my friend you're just suffering from anger mixed with hunger
  13. sky soldier

    Tujadiliane hapa videos ambazo hazipo Youtube ila Watanzania wanapenda ziwepo wadau tupige views na pesa

    Nadhani kila moja jukwaa hili anajua youtube wanalipa pesa kwa videos zako unazokubali kuwawekea matangazo yao. Hakuna kipimo kimoja ama kilichokuwa fixed kujua malipo ni kiasi gani kwa views kadhaa ila ukweli ni kwamba pesa ipo. Sasa naombeni wadau tupeane idea za niche gani ambayo wabongo...
  14. Z

    Ni aibu na fedheha watia nia wa CCM kuzidiana kwa kugawa pesa ili kujitambulisha

    Yaonekana CCM ndo tatizo la nchi hii. M/kiti wao alisema hataki rushwa katika uchaguzi. M/kiti huyo anasisitiza atawakata wagombea wote wala rushwa. Akazidi kusema rushwa ni mdudu mbaya sana! Baadaye ameruhusu wagombea kujitambulisha majimboni. Huku majimboni imekuwa ni kugawa pesa. Kila...
  15. The Palm Tree

    Hivi vitambulisho vya mjasiriamali mdogo vina maana gani hasa? Pesa inayokusanywa ni ya nani na inakwenda wapi?

    WanaJF, habari zenu wote!! Hebu tulijadili tena hili. Mwaka huu 2020 limekuja kiaina na kivingine kabisa. Limeniacha na maswali yasiyo na majibu. Labda wenye majibu watatushirikisha... Ni kuhusu hii kitu iliyopewa jina la "KITAMBULISHO CHA MJASIRIAMALI MDOGO". Mimi naona kama ni usanii na...
  16. bigmen

    Pesa ya masishi yangu

    Sio mapenzi sio pesa vyote hivi vinanisumbua akili yangu, ila kwa suala la pesa nazani limefika mwisho wa kusumbua akili yangu.. Maana kwa jinsi hali ilivo ngumu nimeongea na ndugu zangu wanipatie pesa za mazishi yangu nitumie, halafu nikifa nitajua mwenyewe cha kufanya.😆😆😆
  17. D

    Tetesi: Tutaelewana taratibu; Ukitoa pesa kwa wakala wa pesa Jina liwe la jinsia tofauti na yako hutakiwi kupewa pesa zaidi ya kukamatwa

    Mfano wewe Ni jinsia ya kiume (Me) ukaenda kutoa pesa kwa wakala halafu jina lionekane mtoaji aliyetoa ni jinsia ya kike (KE)! Utaratibu wa Sasa hutakiwi kupewa pesa hiyo vinginevyo Ikitokea iwe Ni kwa huruma ya wakala! Utaratibu kwa Sasa wenye majina yenye mashaka sahivi unapaswa kuonesha...
  18. bigmen

    Pesa hukupa heshima na jina, lakini pesa hiyo hiyo inaweza kukupa fedheha na kukudhalilisha bila kujali wadhifa wako au umri

    Pesa inakupa heshima na jina vile vile, lakini pesa hiyo hiyo inaweza kukupa fedhea na kukuzaraulisha bila kujali wadhifa wako, umri, busara zako na elimu yako. Watu wengi wanaeza uliza kivipi pesa ikupe fedhea na kukuzaraulisha...? kwa sababu wao wanaamini kuwa pesa ndio kila kitu lakini...
  19. PAZIA 3

    Kazi zenye pesa zisizojadiliwa na vijana hizi hapa

    Natumai hamjambo, kichwa Cha habari kinajieleza, Kuna kazi vijana wengi hawazijadili ila ukizizingatia unaweza ukatengeneza kampuni kubwa Tena yenye kuheshimika 1; Shoe care, hi inajumuisha kushona viatu vilivyochanika, mikoba, begi, nk, kung'arisha viatu na kufua viatu, Hakika, kwa mtaji wa...
  20. T

    Hushpuppi afikishwa Marekani, asomewa mashtaka ya utakatishaji pesa. Atuhumiwa kutapeli club moja ya EPL £100M

    Socialite wa mitandaoni kutoka Nigeria, mfanyabishara hewa Hushpuppi aliekamatwa mwezi uliopita mjii Dubai amehamishiwa Marekani na kusomewa mashtaka ya utakatishaji pesa na uhalifu wa kimtandao. Atuhumiwa kutaka kutapeli club moja ya EPL wamtumie Pound 100M sawa na Dollar 124M au Bilioni 280...
Back
Top Bottom