pesa

  1. guwe_la_manga

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua utaratibu wa kununua pesa za kigeni katika mabenki

    Naomba kujuzwa hatua za kufuata nikitaka kununua pesa za kigeni kwenye mabenki?
  2. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tamko la Lissu kusema hatawapa wagombea CHADEMA pesa litasababisha michango yake idode

    Kuna mama mmoja alimuhoji Tundu Lisu kwenye mkutano wa baraza kuu. Aliuliza wewe Kama mgombea urais una mpango gani kutusaidia kifedha wagombea wengine wa udiwani na ubunge? Akajibu hela Hana wasahau ya Lowassa Sasa Kama Hana na wajumbe wengi wanagombea udiwani na ubunge Ina maana akienda...
  3. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mtihani mkubwa ulio mbele ya CHADEMA ni kupata fedha za kampeni za Urais. Chama hakina fedha na Mgombea hana fedha

    Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana. Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA. Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya...
  4. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uchawi wa Mahusiano ni pesa

    Nimeamini uchawi wa mahusiano ni pesa. Yaani ukiwa nazo, utabembelezwa kama mtoto mchanga; ila ukiishiwa usishangae mpenzi wako kukuita majina ya ajabu ajabu kama vile, wee mbuzi, mbwa, paka n.k Tutafute vyanzo vya pesa wakuu, tule mema ya dunia
  5. T

    JamiiForums Tanzania Ronaldinho anusurika na mashtaka ya utakatishaji pesa na kuendesha magenge ya uhalifu nchini Paraguay, atarajiwa kukiri makosa na kuachiwa huru.

    Waendesha mashtaka nchini Paraguay wanatarajia kuhitimisha uchunguzi wa kesi ya Ronaldinho baada ya kukamatwa miezi 4 iliyopita na hati bandia ya kusafiria ya nchi hiyo. Waendesha mashtaka wameshindwa kumuunganisha Ronaldinho na kaka yake kwenye utakatishaji pesa na uendeshaji wa magenge ya...
  6. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya Habari huu ndio msimu wa kuvuna pesa za wanasiasa, msiwatangaze bila kulipwa kwanza

    Matangazo ya biashara ni moja ya eneo muhimu kwa vyombo vya habari. Sasa hivi tunaelekea uchaguzi mkuu wanasiasa kutwa watakuwa. Wakiita vyombo vya habari kukitangaza biashara zao za kisiasa wanakogombea. Hilo ni tangazo la biashara. Vyombo vya habari anzeni kuchaji pesa. Wakiwaalika walipe...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Pesa ilikuwa ndiyo sifa ya kwanza kwenye kura za maoni CCM

    Mambo yamebadilika ndani ya CCM. Dosari kubwa ni jinsi mchakato wa kupata wagombea unavyoendeshwa ambapo hakuna tena muda wa mwanachama anayegombea kujieleza kwa undani na kumwaga sera na mipango yake ya maendeleo. HAKUNA mgombea yoyote katika jimbo lolote aliyepata kura tano na kuendelea...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Wajumbe: Wagombea wanashindana kwa kutumia pesa

    Wiki iliyopita nikiwa natoka kwenye shughuli zangu ghafla nilikutana na watu watatu, wawili wakiwa wamevalia mashati ya kijani. Kwa mavazi yao na maongezi Yao, fikra zangu zilinipelekea kuwaza kuwa hawa ni "WAJUMBE' Maongezi yao yalinivutia yakafanya nizidi kuwasikiliza. Kwa ufupi walikuwa...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Usalama wa Taifa msitupotezee pesa zetu kufuatilia wanasiasa

    Lissu alikuwa analalamika kuna gari la usalama wa taifa linamfuata. Hizi ni pesa za wananchi zilikuwa zinachomwa bila sababu ya msingi kwa kusaidia watu binafsi kisiasa. Huu ni zaidi ya ufisadi! Kama kuna tatizo kwa mtu yeyeote hasa kisiasa kuna mahakama zipo na sio kuajiri mtu ambaye...
  10. D

    JamiiForums Tanzania Tupime thamani ya pesa hapa (Value for Money) Je, Maslahi ya Mbunge yanaakisi hali halisi ya mwananchi wa kawaida?

    MASLAHI YA MBUNGE: - Mshahara: TZS 3.8M kwa mwezi - Shangingi la kutembelea (wanakopeshwa bei chee) - Posho ya mwezi: TZS 8M kwa mwezi - Posho ya Kikao: TZS 240K kwa siku - Posho kujikimu: TZS 120K kwa siku - Pensheni: TZS 240M baada ya miaka mitano - Bima ya afya ya daraja la kwanza kwako na...
  11. mr mkiki

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu Arusha waandamana baada ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) kukata pesa zao za kujikimu

    Wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu- Arusha wakiandamana usiku huu kuishinikiza Bodi ya Mikopo Nchini HESLB kurejesha kiwango kilichosalia cha 510,000/= kwa mwaka huu wa masomo 2019/2020.
  12. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Usitafute pesa; ifanye Pesa ikutafute yenyewe

    USITAFUTE PESA, IFANYE PESA IKUTAFUTE YENYEWE Na, Robert Heriel Ndoto ya watu wengi ni kupata pesa zitakazowafanya waishi maisha mazuri. Ndio maana watu wanahangaika usiku na mchana kutafuta pesa, watu wanahangaika mijini na vijijini kutafuta pesa, majini na nchi kavu, mashimoni na angani...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Kama mtumishi wa umma simpigii kura Magufuli kwa kutoboresha maslahi yangu, wewe kwanini hutamchagua?

    Inawahusu wasiomchagua JPM tu. Mimi Kama mtumishi wa umma hajaongeza mshahara wangu kwa miaka yote 5, ananikata 15% badala ya 8% kama mkataba wangu na Loan Board unavyosema. Kwa sababu hizo kura yangu hapati. Wewe serikali yake katika sekta yako kwa nini hapati kura yako?
  14. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Mteja wa Vodacom sasa anaweza kupokea pesa kutoka nchi za nje akitumiwa kwa njia ya World Remit, Money Gram na Juba express

    Kilio cha wadau cha kutaka kurahishwe njia za kupokea pesa zimeanza kusikilizwa Sasa hivi Mteja wa vodacom mwenye Mpesa Sasa waweza pokea pesa toka nchi za nje kwenye simu yako ukitumiwa kwa njia ya World Remit,Money Gram na Juba express. Kama una mtu nje na una namba ya vodacom yenye Mpesa...
  15. T

    JamiiForums Tanzania Mara, Kigoma, Tabora, Kagera wagombe CCM ni PhD, mikoa ya pwani Morogoro, Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga ni kujua kusoma, kuandika na pesa

    Halafu mtu analalamika kuwa JPM anapendelea wabunge wa mikoa ya bara katika kuunda Baraza la Mawaziri. Tunapoingia uchumi wa kati ndugu zangu changueni wabunge wasomi. Hawa ndio wenye sifa ya kumsaidia mhe. JPM. Achaneni kumchagua mtu kwa vigezo vya pesa, mnasikia ndugu zangu hasa wa mikoa ya...
  16. King Loto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bongo ya sasa inakwenda kasi sana. Huna pesa na huna penzi

    Wakuu wa jamvi hali ni gani uko kwenu kitaa. Yaani hawa kina hawa wanatanguliza pesa mbele kama tai. Kama huna pesa utaishia kula wale wa short time kule Sinza na Manzese wa buku 3 na buku mbili mbili buku ya mlinzi 😂😂😂😂 wewe hujiulizi kwani nini wanaume tukiwa na kojo tunakimbilia hawa wa...
  17. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Vyama vya upinzani, unafiki na tamaa ya pesa

    Mwaka 2020 asilimia 95 ya wapinzani hasa wa Chadema na ACT wanajua kuwa hawatapata nafasi za Ubunge na Udiwani. WANAJUA KABISA HILI PASINA SHAKA. Ni hawa hawa wapinzani wanaosema kuwa TUME YA UCHAGUZI SI HURU. Sasa swali linakuja wanaenda shiriki uchaguzi wakitegemea nini? Kuwa utatokea muujiza...
  18. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Baada ya kampuni ya michezo ya kubahatisha ya Betika kunipatia pesa zangu nilizokuwa nikilalamikia kutopewa, sasa kwa hiari yangu ninafuta malalamiko

    Wakuu heshima kwenu, ni dhahiri sasa kampuni ya michezo ya kubahatisha betika ilikuwa na tatizo LA kiufundi na wala si matapeli kama nilivyokuwa nikiwafikiria. Hii ni baada ya kufanikiwa kutoa kiasi kikubwa cha pesa nilichoshinda baada ya kutabiri kwa ufasaha matokeo ya michezo ya Mpira wa...
  19. B

    JamiiForums Tanzania Anahitajika mtaalam mwenye uwezo wa kututafutia pesa kwa ajili ya NGO

    Tumeanzisha NGO ila tuna changamoto ya kupata fedha kutoka kwa wafadhili, tunahitaji mwenye upeo na uwezo wa kujua wapi na namna ya kupata fedha kwa ajili ya miradi yetu ya maendeleo, NGO yetu ina malengo ya kujengea watu uwezo wa ujasiriamali, kilimo, mambo ya viwanda; inajenga miundo mbinu...
  20. FrankLutazamba

    JamiiForums Tanzania Kila mwenye shahada asiye na ajira aendelee kulipwa pesa ya kujikimu(boom) Tsh. 5,000 akiwa anasaka ajira

    Mh. Rais Dr. Magufuli tunakuomba kila mwenye shahada(degree)aendelee kulipwa hata baada ya kuhitimu shahada, mfano tukiwa milioni moja ukizidisha mara elfu tano ni kama milioni mia tano tu kwa mwezi na hapo wengi umeshawaajili hivyo tunakuwa kama laki tano tu ambao ni sawa na milioni mia mbili...
Back
Top Bottom