Lakini mizigo si wanatoa wakati wowote?Tatizo hao kila siku wana shida utasaidia mpaka uchoke
Batter trade.Kama una uwezo wa kumsaidia akikuomba we mpe tu mbona utamu anakupa jamani akiwa na shida kwa nini usimsaidie
Hakuna chakukimbia wala kukwepa, wanawake wanachukulia mahusiano kama ajira hivyo mwanaume anatakiwa kulipa mshahara ili apate huduma...Wanaume mmeumbiwa majukumu.acheni kuyakwepa
Hela ya vocha tu mwenzio kachacha unakimbia kulea familia akibeba mimba utaweza? Na huko jukumu pia wengi mnakimbia kwa kukataa mimba.
Utamnyima hela lakini jua ukimuoa utamtunza.ukishindwa watamchukua wenzio wamtunze.
Hata katiba ya nchi kuhusu ndoa unasema mojawapo ya haki ya mke katika ndoa ni kutunzwa na mme wake.
Wanawake angalieni wanaume mnaotoka nao.mwanaume akiwa mbinafsi kwa kidogo usitarajie akawa mkarimu kwa kikubwa.
Epuka mwanaume mkimbiaji majukumu,atakucost!
Mbona utammm😂😂😂😆Kama una uwezo wa kumsaidia akikuomba we mpe tu mbona utamu anakupa jamani akiwa na shida kwa nini usimsaidie
au kila mtu abaki na chake ye na hela zake na huyu na utamu wakeMbona utammm
Naaaam auntieKwani kila mtu akibaki na chake kwani sh ngapi?
Wasituchoshe kwakweli.Naaaam auntie