Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 859
- 1,012
Iko hivi:-
Kila kukicha pesa yetu inashuka thamani 10,000 ya leo kesho itakuwa ni pesa ya kununua kikombe cha chai.
Sasa maada yangu ipo hivi!:
Ikiwa nimeweka 100,000 benki leo hii baada ya miaka 30 itakuwa ni pesa ndogo kulingana na thamani ya shilingi yetu kuendelea kushuka hivyo waweza ona Nakuja itoa na kununua shati tu. Nami sitaki iwe hivyo.
Nimefikilia niwe naweka kwa ku exchange rate na kuwa dola na kuiweka kama dola Nakuja itoa kama dola ila bado naona kuna ugumu maana napenda niwe najaza pesa kwa kutumia simu ya mkononi kwenda kwenye akaunti.
Je, ni ipi njia sahihi ya kuifanya akiba yangu iendelee kupanda thamani?
Msaada tafadhali.
Kila kukicha pesa yetu inashuka thamani 10,000 ya leo kesho itakuwa ni pesa ya kununua kikombe cha chai.
Sasa maada yangu ipo hivi!:
Ikiwa nimeweka 100,000 benki leo hii baada ya miaka 30 itakuwa ni pesa ndogo kulingana na thamani ya shilingi yetu kuendelea kushuka hivyo waweza ona Nakuja itoa na kununua shati tu. Nami sitaki iwe hivyo.
Nimefikilia niwe naweka kwa ku exchange rate na kuwa dola na kuiweka kama dola Nakuja itoa kama dola ila bado naona kuna ugumu maana napenda niwe najaza pesa kwa kutumia simu ya mkononi kwenda kwenye akaunti.
Je, ni ipi njia sahihi ya kuifanya akiba yangu iendelee kupanda thamani?
Msaada tafadhali.