pesa

  1. sky soldier

    Wanafunzi vyuoni: Msikae kusuburi boom/pocket money, fanya hizi biashara

    STATIONERY YA NDANI YA GHETO/HOSTEL Nguvu ya hii biashara 1.tationery nyingi hufugwa mida ya saa moja jioni hivyo hakunaga mbadala, nguvu yako hapa ni kwamba wewe muda wowote ambao upo chumbani kuna huduma. hata usiku. 2. Stationery zinaweza kuwa mbali na sehemu ambayo unaishi na wanafunzi...
  2. D

    MO afuatiliwe kwa utakatishaji wa pesa

    Lekaga gete, nahene milimo. Mlimpola bhagosha bhane! Shalom! Mpaka sasa hakuna anaeweza kuthibitisha kuwa MO amesha weka ile bilioni 20 kwenye account ya simba au Ile ya kampuni,sidhani hata BMT sidhani wamewahi kuthibitisha. Mzee Rage hapa karibuni amesisikika akiomba BMT audition ya kifedha...
  3. and 998 others

    Kenya: Pesa ya COVID inatafunwa bila huruma

    Watani zetu Hawa wamepata 223 Billion Ksh. Toka taasisi za kimataifa eg, IMF, EU n.k kupambana na COVID19 ndo maana kutwa kutoa data za kubumba. Sasa pesa wanafyonza wachache huku wanyonge wakiendelea na changamoto pendwa. *Washaanza kukamatana uchawi huko ====== Push for State to explain...
  4. R

    Mwanamke akikuomba pesa siku ya kwanza ya kukutana kwenu jua hakupendi

    Nipo apa kuwatoa ujinga nyinyi wanaume mnaojifanya mna pesa yaan unakuta dume zima linajua na mwanamje first day denu anaanza njaa mara nina birthday.kuna mchango wa harusi .nimekopa nadaiwa nina shida ya sh fulani na mwanaume na akili timamu unatuma unajua anajuchukuliaje JIBU : ANAKUONA BOYA...
  5. A

    Huyu mdada anavyonichunia baada ya kumwambia hivi, kosa langu ni nini?

    Huyu mdada nilikutana nae kwenye sherehe ya harusi ya ndugu yangu, kuulizia ulizia, nikatambulishwa kuwa alikuwa ni family friend wa ndugu yangu tena anaishi jirani na mtaa anaoishi ndugu yangu. Alinivutia, nikamwomba namba akakubali, tukawa tunachat, tena siku ingine anaanza yeye kunitext ...
  6. Masokotz

    Pesa kikwazo cha Demokrasia

    Nilileta huu uzi wiki jana kuhusu kazi tulokuwa nimedhamiria kuifanya ya kukusanya maoni ya wakazi wa Kigamboni abayo imekamilika leo. Uzi wenyewe ni huu: Taarifa Kwa Umma: Fact Finding Mission-Jimbo la Kigamboni Baada ya kufanya stadi yangu kwa siku tatu tangu jumapili ya tarehe 9 August mpaka...
  7. Infantry Soldier

    Eti mkikuta pesa kwenye suruali za waume zenu wakati wa kufua huwa mnawapa? Na kama hamuwapi ni kwanini?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums, Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Sio kila muda tunapaswa kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya cold war, jeshi na ujasusi wa KGB. Leo ngoja tujadili kidogo...
  8. Mapensho star

    Wapi naweza kubadili pesa za zamani

    Nina pesa hizi mbili za zamani nahitaji kubadili Kwa picha hizi chini
  9. guwe_la_manga

    Naomba kujua utaratibu wa kununua pesa za kigeni katika mabenki

    Naomba kujuzwa hatua za kufuata nikitaka kununua pesa za kigeni kwenye mabenki?
  10. YEHODAYA

    GE2020 Tamko la Lissu kusema hatawapa wagombea CHADEMA pesa litasababisha michango yake idode

    Kuna mama mmoja alimuhoji Tundu Lisu kwenye mkutano wa baraza kuu. Aliuliza wewe Kama mgombea urais una mpango gani kutusaidia kifedha wagombea wengine wa udiwani na ubunge? Akajibu hela Hana wasahau ya Lowassa Sasa Kama Hana na wajumbe wengi wanagombea udiwani na ubunge Ina maana akienda...
  11. YEHODAYA

    GE2020 Mtihani mkubwa ulio mbele ya CHADEMA ni kupata fedha za kampeni za Urais. Chama hakina fedha na Mgombea hana fedha

    Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana. Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA. Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya...
  12. Equation x

    Uchawi wa Mahusiano ni pesa

    Nimeamini uchawi wa mahusiano ni pesa. Yaani ukiwa nazo, utabembelezwa kama mtoto mchanga; ila ukiishiwa usishangae mpenzi wako kukuita majina ya ajabu ajabu kama vile, wee mbuzi, mbwa, paka n.k Tutafute vyanzo vya pesa wakuu, tule mema ya dunia
  13. T

    Ronaldinho anusurika na mashtaka ya utakatishaji pesa na kuendesha magenge ya uhalifu nchini Paraguay, atarajiwa kukiri makosa na kuachiwa huru.

    Waendesha mashtaka nchini Paraguay wanatarajia kuhitimisha uchunguzi wa kesi ya Ronaldinho baada ya kukamatwa miezi 4 iliyopita na hati bandia ya kusafiria ya nchi hiyo. Waendesha mashtaka wameshindwa kumuunganisha Ronaldinho na kaka yake kwenye utakatishaji pesa na uendeshaji wa magenge ya...
  14. YEHODAYA

    Vyombo vya Habari huu ndio msimu wa kuvuna pesa za wanasiasa, msiwatangaze bila kulipwa kwanza

    Matangazo ya biashara ni moja ya eneo muhimu kwa vyombo vya habari. Sasa hivi tunaelekea uchaguzi mkuu wanasiasa kutwa watakuwa. Wakiita vyombo vya habari kukitangaza biashara zao za kisiasa wanakogombea. Hilo ni tangazo la biashara. Vyombo vya habari anzeni kuchaji pesa. Wakiwaalika walipe...
  15. S

    Pesa ilikuwa ndiyo sifa ya kwanza kwenye kura za maoni CCM

    Mambo yamebadilika ndani ya CCM. Dosari kubwa ni jinsi mchakato wa kupata wagombea unavyoendeshwa ambapo hakuna tena muda wa mwanachama anayegombea kujieleza kwa undani na kumwaga sera na mipango yake ya maendeleo. HAKUNA mgombea yoyote katika jimbo lolote aliyepata kura tano na kuendelea...
  16. M

    Wajumbe: Wagombea wanashindana kwa kutumia pesa

    Wiki iliyopita nikiwa natoka kwenye shughuli zangu ghafla nilikutana na watu watatu, wawili wakiwa wamevalia mashati ya kijani. Kwa mavazi yao na maongezi Yao, fikra zangu zilinipelekea kuwaza kuwa hawa ni "WAJUMBE' Maongezi yao yalinivutia yakafanya nizidi kuwasikiliza. Kwa ufupi walikuwa...
  17. K

    Usalama wa Taifa msitupotezee pesa zetu kufuatilia wanasiasa

    Lissu alikuwa analalamika kuna gari la usalama wa taifa linamfuata. Hizi ni pesa za wananchi zilikuwa zinachomwa bila sababu ya msingi kwa kusaidia watu binafsi kisiasa. Huu ni zaidi ya ufisadi! Kama kuna tatizo kwa mtu yeyeote hasa kisiasa kuna mahakama zipo na sio kuajiri mtu ambaye...
  18. D

    Tupime thamani ya pesa hapa (Value for Money) Je, Maslahi ya Mbunge yanaakisi hali halisi ya mwananchi wa kawaida?

    MASLAHI YA MBUNGE: - Mshahara: TZS 3.8M kwa mwezi - Shangingi la kutembelea (wanakopeshwa bei chee) - Posho ya mwezi: TZS 8M kwa mwezi - Posho ya Kikao: TZS 240K kwa siku - Posho kujikimu: TZS 120K kwa siku - Pensheni: TZS 240M baada ya miaka mitano - Bima ya afya ya daraja la kwanza kwako na...
  19. mr mkiki

    Wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu Arusha waandamana baada ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) kukata pesa zao za kujikimu

    Wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu- Arusha wakiandamana usiku huu kuishinikiza Bodi ya Mikopo Nchini HESLB kurejesha kiwango kilichosalia cha 510,000/= kwa mwaka huu wa masomo 2019/2020.
Back
Top Bottom